cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Case [emoji735]It's true because no one has ever die and come back to earth to tell us, what happens after death.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Case [emoji735]It's true because no one has ever die and come back to earth to tell us, what happens after death.
Hongera kwa ujinga,unaweza kutwambia ukoo wako unapatikana wapi tuje tuone vivutio vya utalii!?Nyie ndiyo mnaishi kwa hofu ya kumuogopa Mungu mnavizia awape mabikira 72, kweli ujinga ni mzigo.
Huyo maku hawezi kukujibu,yupo kwenye mtanziko wa kifikra akidhani ana fikra jadidi,muulize pia ikiwa ana akili,akikwambia anazo mwambie athibitishe,uone anavyojibu,atarukaruka tu,Mimi Alisha ni-ignore baada ya mjadala kumzidiaUkitaka kusema mwanadamu exists unatakiwa uthibitishe katokea wapi, wewe ni mwanadamu, do u exists? Umetokea wapi? Thibitisha umetokea kwa nyani
You're a great liarThere's no invisible guy in the sky
Wakikaribia kufa huwa wanamkumbuka Mungu wa imani gani?Wakikaribia kufa ndo kauli zao hizo,hiyo yote hofu maana ananusa harufu ya mauti na maisha yake yote alimsahau Mungu,Sasa duniani ana bangalows huko anakoenda anaona kabisa Hana kitu...hakuna Mungu yaani universe imejileta tu na sayari dunia imekua habitable(kukalika) by chance tu!!..ni kutofikiri
Liar than your Jesus who vowed to come back again after his death?You're a great liar
Kifo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Tukiwa wazima huwa tunatamba na kuongea vyovyote kwa mbwembwe, subri tuelekee kwenye point of no return hapo balaa linaanza....
Kuumwa na kichwa nako ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Mwanadamu akisha kua na pumzi kila kitu anaweza kusema
Ila subiri aumwe na kichwa tu atahangaika kuutafuta Uzima bcz anaogopa kifo
Wewe kabla ya kuzaliwa ulikuwa wapi?Yeye amewahi kufa???
Nisibitisheje wakati ninacho kiona ww ukiaangalia hukioniUtahakikishaje hizo hadithi za "spiritual" zinaeleza mambo ambayo yapo kweli na si tungo za kihadithi tu zisizo na ukweli?
Unaruhusiwa kuwa na imani yako, lakini, ukianza kusema imani yako ipo kwenye ukweli, unatakiwa uthibitishe hilo.
all in all before the end of your days on earth you must choose a sideNyie ndiyo mnaishi kwa hofu ya kumuogopa Mungu mnavizia awape mabikira 72, kweli ujinga ni mzigo.
komwe i thought you were an atheist or agnostic of some kind😬Yeye amewahi kufa???
Kwanza kabisa, nyoosha maandishi.Nisitisheje wakati ninacho kiona ww ukiangahia hukioni
Mind your business yeye kashamalizaHana mda mrefu sana ataiona practically wakati anateseka.
Chanzo Cha mwanadamu 😵Kama kila kitu kina hoja, sema chanzo cha mwanadamu?!