Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishindwa kuandika sentensi fupi iliyonyooka ya Kiswahili, unanipa shaka kama utaweza kufanya maongezi anuai kuhusu hoja tunduizi kwenye mambo kadhaa dhahania ya mantiki na falsafa ya dini na uwepo wa Mungu.hichi ndo unacho jua tu,
Hujaeleza unajuaje habari za kuwepo Mungu ni kweli na si hadithi tu?Nilikuwa nasikia Sasa ninamjua Mungu...
Sio hadithi...
Kwangu ni kweli...
Sikulazimishi uamini
Mi nilimtafuta kwa bidii kama neno lake alilosema kuwa nitafuteni kwa bidii mtaniona...Hujaeleza unajuaje habari za kuwepo Mungu ni kweli na si hadithi tu?
Bado hujaeleza unajuaje habari za kuwepo Mungu ni kweli na si hadithi tu.Mi nilimtafuta kwa bidii kama neno lake alilosema kuwa nitafuteni kwa bidii mtaniona...
Ww una utindio wa ubongoKuumwa na kichwa nako ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao magonjwa yanawezekana.
Mungu huyo, kwa sifa zake hizo, si mkatili hivyo.
Uwezekano wa watu kuumwa ugonjwa wowote ni ushahidi kwamba huyo Mungu hayupo.
Unaelewa hilo?
Hayo ni matamanio yakoMaybe Mungu yupo lakini mambo ya moto wa milele na kufufuka havipo
Tufanye nina utindio wa ubongo kama unavyosema, for argument's sake.Ww una utindio wa ubongo
Wewe ni mjinga na mjinga aki ishiwa hoja hutumia matusi kama silaha ya kujilinda.Ww una utindio wa ubongo
Kutokujua Galaxy ziliumbwa na nani si hitimisho la kusema ziliumbwa na Mungu kwa vile huwezi hata kuthibitisha kama kweli hizo Galaxy ziliumbwa bali ni mawazo yako tu, Unadhani na kuhisi Galaxy ziliumbwa.Galaxy ziliumbwaje?, wahusika wa kuiumba ni akina nani?
Utakuwa muumini wa mwamposaHana mda mrefu sana ataiona practically wakati anateseka.
Kwa nini unadhani lazima awepo mtengenezaji wa galaxy?Nani alitengeneza galaxy?
🚮🚮🚮🚮Ukishindwa kuandika sentensi fupi iliyonyooka ya Kiswahili, unanipa shaka kama utaweza kufanya maongezi anuai kuhusu hoja tunduizi kwenye mambo kadhaa dhahania ya mantiki na falsafa ya dini na uwepo wa Mungu.
Huyo kiranga anajitoaga fahamu tu, wameleta mafundisho potofu kwamba binadamu katokana na nyani ambayo hadi leo watoto wanafundishwa mashuleni ili kuua ukweli wa uumbaji wa Mungu Mkuu.Ukitaka kusema mwanadamu exists unatakiwa uthibitishe katokea wapi, wewe ni mwanadamu, do u exists? Umetokea wapi? Thibitisha umetokea kwa nyani
Mbona na nyie mmekuja na mafundisho potofu kuwa kuna nyoka alikuwa anaongea na mtu na kufanikiwa kumshawishi kula tunda.Huyo kiranga anajitoaga fahamu tu, wameleta mafundisho potofu kwamba binadamu katokana na nyani ambayo hadi leo watoto wanafundishwa mashuleni ili kuua ukweli wa uumbaji wa Mungu Mkuu.
The action-movie icon terminates every 'f**king liar' who says there is life after death.
Arnold Schwarzenegger says he won’t be back. Ever. The action movie legend told “Twins” co-star Danny DeVito that heaven is a “fantasy” and that anyone who says otherwise “is a fucking liar.” In a new interview posted Tuesday, DeVito noted the threat of the water crisis and asked Schwarzenegger, “What’s in the future for us?
That prompted the former “Terminator” to take aim at the afterlife.
I said, ‘We don’t know what happens with the soul and all this spiritual stuff that I’m not an expert in, but I know that the body as we see each other now, we will never see each other again like that,’ ” Schwarzenegger continued.
“We deteriorate,” DeVito interjected.
“Except in some fantasy,” Schwarzenegger replied. “When people talk about, ‘I will see them again in heaven,’ it sounds so good, but the reality is that we won’t see each other again after we’re gone. That’s the sad part. I know people feel comfortable with death, but I don’t.”
“Arnold,” the Netflix docuseries about him, begins streaming Wednesday.
One portion disclosed this week covers Schwarzenegger’s confession in therapy to then-wife Maria Shriver that the housekeeper’s son, Joseph Baena, was his as well. The revelation prompted the couple to split in 2011.
Source: Huffpost
Mwanadamu akisha kua na pumzi kila kitu anaweza kusema
Ila subiri aumwe na kichwa tu atahangaika kuutafuta Uzima bcz anaogopa kifo
Akili za MUNGU hazichunguziki...
The main reason for the survival of religion is not a desire to live a better life, but our fear of death.Fear of death is the driving force of fuckn religions.