Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Kuumwa na kichwa nako ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao magonjwa yanawezekana.

Mungu huyo, kwa sifa zake hizo, si mkatili hivyo.

Uwezekano wa watu kuumwa ugonjwa wowote ni ushahidi kwamba huyo Mungu hayupo.

Unaelewa hilo?
Ww una utindio wa ubongo
 
Ww una utindio wa ubongo
Tufanye nina utindio wa ubongo kama unavyosema, for argument's sake.

Ikiwa mimi nina mtindio wa ubongo kweli, hata huo mtindio wangu wa ubongo utakuwa ni ushahidi kwamba hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Kwa sababu, Mungu huyo angekuwepo, asingekuwa mkatili hivyo kuumba ukimwengu ambao viumbe wake wanaweza kuwa na mtindio wa ubongo, wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao hauwezi kuwa na viumbe wenye mtindio wa ubongo.

Wewe umeona kama unanikashifu, kumbe hata hiyo kashfa yako inazidi kuthibitisha point yangu.
 
Nani alitengeneza galaxy?
Kwa nini unadhani lazima awepo mtengenezaji wa galaxy?

Na huyo mtengenezaji wa galaxy kama yupo kwa nini huwazi na yeye ali tengenezwa na nani?

Kwa nini uwaze na kuamini tu, Galaxy zina mtengenezaji na hazijaweza kujitengenezea zenyewe ila unawaza na kuamini mtengeneza galaxy ameweza kujitengenezea mwenyewe?
 
Ukishindwa kuandika sentensi fupi iliyonyooka ya Kiswahili, unanipa shaka kama utaweza kufanya maongezi anuai kuhusu hoja tunduizi kwenye mambo kadhaa dhahania ya mantiki na falsafa ya dini na uwepo wa Mungu.
🚮🚮🚮🚮
 
Ukitaka kusema mwanadamu exists unatakiwa uthibitishe katokea wapi, wewe ni mwanadamu, do u exists? Umetokea wapi? Thibitisha umetokea kwa nyani
Huyo kiranga anajitoaga fahamu tu, wameleta mafundisho potofu kwamba binadamu katokana na nyani ambayo hadi leo watoto wanafundishwa mashuleni ili kuua ukweli wa uumbaji wa Mungu Mkuu.
 
Huyo kiranga anajitoaga fahamu tu, wameleta mafundisho potofu kwamba binadamu katokana na nyani ambayo hadi leo watoto wanafundishwa mashuleni ili kuua ukweli wa uumbaji wa Mungu Mkuu.
Mbona na nyie mmekuja na mafundisho potofu kuwa kuna nyoka alikuwa anaongea na mtu na kufanikiwa kumshawishi kula tunda.

Au we kwako hiyo story unaona imekaa fresh?
 
The action-movie icon terminates every 'f**king liar' who says there is life after death.

Arnold Schwarzenegger says he won’t be back. Ever. The action movie legend told “Twins” co-star Danny DeVito that heaven is a “fantasy” and that anyone who says otherwise “is a fucking liar.” In a new interview posted Tuesday, DeVito noted the threat of the water crisis and asked Schwarzenegger, “What’s in the future for us?

That prompted the former “Terminator” to take aim at the afterlife.

I said, ‘We don’t know what happens with the soul and all this spiritual stuff that I’m not an expert in, but I know that the body as we see each other now, we will never see each other again like that,’ ” Schwarzenegger continued.
“We deteriorate,” DeVito interjected.

“Except in some fantasy,” Schwarzenegger replied. “When people talk about, ‘I will see them again in heaven,’ it sounds so good, but the reality is that we won’t see each other again after we’re gone. That’s the sad part. I know people feel comfortable with death, but I don’t.”

“Arnold,” the Netflix docuseries about him, begins streaming Wednesday.

One portion disclosed this week covers Schwarzenegger’s confession in therapy to then-wife Maria Shriver that the housekeeper’s son, Joseph Baena, was his as well. The revelation prompted the couple to split in 2011.

Source: Huffpost

Give him the nod
We need smart people like schwarzenegger.
 
Mwanadamu akisha kua na pumzi kila kitu anaweza kusema

Ila subiri aumwe na kichwa tu atahangaika kuutafuta Uzima bcz anaogopa kifo

sasa umeongea nini hapa? Kwanini asitafute uzima wakati anaumwa?
 
Back
Top Bottom