Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

ngoja afe atakwenda kujionea mwenyewe.bora kuamini ipo.kuliko kutokuamini alaf ukafa ukakuta ipo.utajua haujui
 
"We don’t know what happens with the soul and all this spiritual stuff that I’m not an expert in"


Keshasema siyo expert wa mambo ya kiroho hivyo hana uhalali wa kuhitimisha.

Wote tupo kwenye chungu ambacho hatujui nje kuna nini. Kila mtu anaweza kuwa sahihi au asiwe sahihi. Ni suala la kuchagua.

KWA WOTE TULIOAMUA KUAMINI MUNGU YUPO NA KUNA MBINGU, TUPO SAHIHI MPAKA PALE TUTAKAPOKUWA HATUPO SAHIHI. HAWA WASIO TAKA KUAMINI HIVYO WANA SABABU ZAO ZISIZO NA MAANA KWETU KWA SASA.

Na wao wapo sahihi kama wewe unavyoona upo sahihi.
 
Kama mimba yako ilitungwa na binadamu na unataka uheshimiwe basi ni sahihi kuheshimu mambo mengine hata kama unafikiri yametokana na binadamu.

Kwani mimba yako ilitungwa na nini ndugu? Au na wewe ni stori za bikira maria?
 
Na wao wapo sahihi kama wewe unavyoona upo sahihi.
sina tatizo na hilo.

Imagine tupo kwenye chumba, hatujui tumefikaje hapo, halafu kila baada ya muda fulani mlango unafunguka mmoja wetu anavutwa nje na harudi tena.

Tunaobaki hapo ndani kila mtu ana haki ya kuamini lolote linalotokea pindi unapovutwa nje.

Ukiamua kuamini kuna mateso sawa, ukiamua kuamini kuna raha sawa, ukiamua kuamini hakuna kitu pia sawa.

Kila mtu ana haki ya kuamini kilicho muhimu kwa maisha aliyonayo kabla hajakutana na yajayo asiyoyajua.
 
Kwani mimba yako ilitungwa na nini ndugu? Au na wewe ni stori za bikira maria?
Usihamishe hoja. Hoja sio chanzo cha utungwaji wa mimba.

Umesapoti kutokuheshimu wazo la uwepo wa MUNGU kwa sababu unafikiri limetoka kwa binadamu ndo maana nikakuambia kama mimba yako ilitokana na binadamu na unataka kuheshimiwa basi kigezo cha kutokueshimu wazo la uwepo wa MUNGU sababu unafikiri limetoka kwa binadamu halina maana.
 
Usihamishe hoja. Hoja sio chanzo cha utungwaji wa mimba.

Umesapoti kutokuheshimu wazo la uwepo wa MUNGU kwa sababu unafikiri limetoka kwa binadamu ndo maana nikakuambia kama mimba yako ilitokana na binadamu na unataka kuheshimiwa basi kigezo cha kutokueshimu wazo la uwepo wa MUNGU sababu unafikiri limetoka kwa binadamu halina maana.

Hukuwahi kuelewa ninacho claim sina shida na kuamini kwako
Ninaweza kuamini wewe ni mbuzi sio tatizo.tatizo nikiambiwa nithibitishie hoja hiyo bila kuwepo kwa mkanganyiko.
Endelea kuamini na ninaheshimu kuamini kwako.
Ila ukitaka kwenye logical consistency na hizo stori wa mungu wa kutungwa huna cha kusema zaidi ya kusema hachunguziki
 
ngoja afe atakwenda kujionea mwenyewe.bora kuamini ipo.kuliko kutokuamini alaf ukafa ukakuta ipo.utajua haujui
A God that has to threaten you with Hell, Diseases and Sufferings for you to recognize him as God is nothing but a man made scare.

Mungu anaye tumia Magonjwa, Mateso na Jehanamu la moto ili atambulike na wanadamu kwamba yeye ni Mungu, Huyo sio Mungu bali ni Hofu za kutengenezwa na wanadamu.
 
Hukuwahi kuelewa ninacho claim sina shida na kuamini kwako
Ninaweza kuamini wewe ni mbuzi sio tatizo.tatizo nikiambiwa nithibitishie hoja hiyo bila kuwepo kwa mkanganyiko.
Endelea kuamini na ninaheshimu kuamini kwako.
Ila ukitaka kwenye logical consistency na hizo stori wa mungu wa kutungwa huna cha kusema zaidi ya kusema hachunguziki
Nina hakika huna logical consistency yoyote kwenye msimamo wako wa kutoamini uwepo wa MUNGU.

hapo ukiulizwa kwanini hakuna MUNGU huna sababu za msingi zinazojitegemea zaidi ya kurudi kwenye udhaifu wa hoja za wanaoamini yupo(dini).
Bila uwepo wa hoja za waamini MUNGU ukadonoa donoa udhaifu unaoupata humo hoja zako ni dhaifu kuliko toilet paper iliyomwagiwa maji au ni huna hoja kabisa.

Na hili kuthibitisha hili nakuuliza.

Kwanini hakuna MUNGU?
 
A God that has to threaten you with Hell, Diseases and Sufferings for you to recognize him as God is nothing but a man made scare.

Mungu anaye tumia Magonjwa, Mateso na Jehanamu la moto ili atambulike na wanadamu kwamba yeye ni Mungu, Huyo sio Mungu bali ni Hofu za kutengenezwa na wanadamu.
aliyekuleta duniani ni nani?
 
Death is the same as a sleep ...

If we wake up from it ,verily we would wake up after death....
 
Tukiwa wazima huwa tunatamba na kuongea vyovyote kwa mbwembwe, subri tuelekee kwenye point of no return hapo balaa linaanza.

Katika Ulimwengu huu mwanadamu ni punje ndogo sana kuliko mchanga wa bahari, anajifanya mjuaji wakati hata 0.00000001% ya Ulimwengu huu haijui.

Ukimuuliza habari za baharini hata 10% hajui halafu anatunishiana misuli na MUNGU MKUU SANA aliyeumba vyote hivyo na kuviwekea mfumo wa kujiendesha


Kama yupo anayeweza kujiongezea japo miaka walau afikishe 2500 basi nitaelekea kusikiliza hoja zaje, nje ya hapo ni mpango wa Shetani na wafuasi wake waliouza nafsi zao kwa Lucifer kuwahadaa wana wa Mungu eti hakuna maisha baada ya kifo au Mungu hayupo ili mwisho wawe wengi huko motoni.
[emoji7]
 
Wakikaribia kufa huwa wanamkumbuka Mungu wa imani gani?

Vipi kama siku ya kufa we ukawa unamkumbuka Allah wakati kule juu yupo Yahweh, je hiyo itakuwa na manufaa yeyote kwako?

Sasa kwa mantiki hiyo ukiambiwa saizi uanze kumuabudu Yahweh utakubali kwasababu ya kuogopa siku yako ya kufa?
Allah ,Yahweh ,Ngai wana tofauti gani ?!!!

Vyovyote aitwavyo....Ikiwa ni huyohuyo aliyeumba ulimwengu basi atakuwa na majina mengi kutokana na lugha na tamaduni za watu....
 
  • Thanks
Reactions: K11
Fear of death is the driving force of fuckn religions.
There are religions which do not fear death but cherishes life that is bestowed upon us......

Cherishing life is the objective of worshipping the creator.....
 
Kutokujua Galaxy ziliumbwa na nani si hitimisho la kusema ziliumbwa na Mungu kwa vile huwezi hata kuthibitisha kama kweli hizo Galaxy ziliumbwa bali ni mawazo yako tu, Unadhani na kuhisi Galaxy ziliumbwa.

Je kama Galaxy haziku umbwa?
Nothing comes in being without being created....

Would you please show me an existence that comes in being without being created?!!!

Waiting
 
Allah ,Yahweh ,Ngai wana tofauti gani ?!!!

Vyovyote aitwavyo....Ikiwa ni huyohuyo aliyeumba ulimwengu basi atakuwa na majina mengi kutokana na lugha na tamaduni za watu....
Unaona hawana tofauti?

Yehova ni Mungu mwenye mfumo wa utatu. Wakati Allah yeye jambo hilo halipo na ametoa maelekezo kwa wafuasi wake kuwa ni dhambi kumtaja yeye katika dhana hiyo.

Sasa utasemaje Allah na Yehova ni sawa wakati wanahitilafiana kwenye sheria zinazoamua hatma ya mtu kwenda peponi au motoni?
 
Unaona hawana tofauti?

Yehova ni Mungu mwenye mfumo wa utatu. Wakati Allah yeye jambo hilo halipo na ametoa maelekezo kwa wafuasi wake kuwa ni dhambi kumtaja yeye katika dhana hiyo.

Sasa utasemaje Allah na Yehova ni sawa wakati wanahitilafiana kwenye sheria zinazoamua hatma ya mtu kwenda peponi au motoni?
Utatu ni tafsiri ya wanaoamini hivyo.....

Mantiki ni moja tu....ingekuwa Yehova si aliyeumba mbingu na nchi basi angekuwa si huyo Allah.....

Wayahudi ndiyo waliyemtambulisha huyo Yehova....wao hawaamini katika huo utatu....sasa tuwapinge wayahudi na kuwaamini waislamu na Wakristo ilihali imani zao zinaanzia kwa huyo Yehova wa Jerusalem?!!![emoji15][emoji15][emoji1787]

#YetzerHatov[emoji120]emoji120]
#ShavuaTov[emoji120]
 
Back
Top Bottom