mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
kwa hyo kwa akili yako mwanamke na mwanaume wakijamiiana tu mtoto anatokea?umjui anayemuumba huyo mtoto?Kwamba hujui mtoto anavyo patikana baina ya mwanaume na mwanamke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hyo kwa akili yako mwanamke na mwanaume wakijamiiana tu mtoto anatokea?umjui anayemuumba huyo mtoto?Kwamba hujui mtoto anavyo patikana baina ya mwanaume na mwanamke?
Hakuna anayeumba isipokuwa mbegu na yai kukutana tukwa hyo kwa akili yako mwanamke na mwanaume wakijamiiana tu mtoto anatokea?umjui anayemuumba huyo mtoto?
mbona kuna watu wanajamiiana kila siku na watoto hawapati kama hakuna anayeumba shida inakuwa nini?Hakuna anayeumba isipokuwa mbegu na yai kukutana tu
Ndio jifunze sayansi na elimu kuhusu viumbe.mbona kuna watu wanajamiiana kila siku na watoto hawapati kama hakuna anayeumba shida inakuwa nini?
kati ya sayansi na quran ipi ni ya kwanza kuja duniani?Ndio jifunze sayansi na elimu kuhusu viumbe.
Jifunze mifumo mbalimbali inavyofanya kazi ya mwili.
Usingeweza kuuliza swali la kijinga mjinga wewe.
Jielimishe
Nini maana ya Sayansi?kati ya sayansi na quran ipi ni ya kwanza kuja duniani?
hv nikikwambia mifumo ya gari ilivyo mpaka gari inatembea.hakuna aliyeitengeneza utabisha?Ndio jifunze sayansi na elimu kuhusu viumbe.
Jifunze mifumo mbalimbali inavyofanya kazi ya mwili.
Usingeweza kuuliza swali la kijinga mjinga wewe.
Jielimishe
Hujanijibu maswali yanguhv nikikwambia mifumo ya gari ilivyo mpaka gari inatembea.hakuna aliyeitengeneza utabisha?
acha kuruka ruka.rudi kwenye swali la msingi kati ya quran na sayansi ipi ya kwanza kuja duniani?Nini maana ya Sayansi?
Nini maana ya Quraan?
Nini maana ya Torah?
Nini maana ya Torati?
Kabla ya kujua kipi kimeanza lazima tujue maana ya kila Moja.acha kuruka ruka.rudi kwenye swali la msingi kati ya quran na sayansi ipi ya kwanza kuja duniani?
Shuleni ulisoma topic ya Reproduction kweli na sababu za watu kushindwa kupata watoto?mbona kuna watu wanajamiiana kila siku na watoto hawapati kama hakuna anayeumba shida inakuwa nini?
mimi swali langu dogo tu.nashindwa kuelewa unapata tabu wapi.sina haja ya kujua maana zake.nimekuuliza kati ya quran na sayansi ipi ya kwanza kuja duniani hilo tu.Kabla ya kujua kipi kimeanza lazima tujue maana ya kila Moja.
Ndio nimekuuliza
Sayansi ni nini?
Quraan ni nini?
Torah ni nini?
Torati ni nini?
sawa nikikwambia magari yametokea kwa bahati tu hakuna aliyeyatengeneza utaamini?Shuleni ulisoma topic ya Reproduction kweli na sababu za watu kushindwa kupata watoto?
Mambo ya sterility, impotence, premature ejaculations n.k?
Kama imani " Ni kuwa na hakika" kwa mujibu wa maandiko ya kikristo mnashindwa vipi kumthibitisha Mungu yupo aka thibitika kwa hakika yupo.Tafsiri ya imani katika maandiko ya kikristo inaanza na " Ni kuwa na hakika" Ila twende na hii hii ya kwako ili tuelewane. NIMEIKUBALI.
Sasa Kama wao hawakuwa na uthibitisho wakaja na imani, wewe unakuja na nini ili kufuta imani?
Hapana sita amini.sawa nikikwambia magari yametokea kwa bahati tu hakuna aliyeyatengeneza utaamini?
Umempa jibu fupi na zuri sana! litamsaidia kama atalitilia maananiNdio jifunze sayansi na elimu kuhusu viumbe.
Jifunze mifumo mbalimbali inavyofanya kazi ya mwili.
Usingeweza kuuliza swali la kijinga mjinga wewe.
Jielimishe
sasa mbona mungu anakwambia kaumba watu unakataa.Hapana sita amini.
Na kwa nini una amini Mungu alitokea kwa bahati tu pasipo kutengenezwa?
Mimi SIAMINI magari yalitokea tu bila kutengenezwa, Vivyo hivyo Siamini Mungu alitokea tu kwa bahati.
Yeah it's true, Heaven is an imagination just an illusion.Heaven as an illusion.
Mungu ni nini?sasa mbona mungu anakwambia kaumba watu unakataa.