Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Kwa jinsi ulimwengu ulivyo hivi lazima kunaalie utengeneza. Haukutokea bure bure, sasa ninyi kazeni vichwa kisa mmesoma vitabu vya akina Aristotle ambao nawenyewe hawapo walisha fukiwa na udongo

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Ukiachana na ulimwengu. Jinsi binadamu tu alivyotengenezwa yani ujuzi uliotumika kumtengeneza binadamu sio wa kawaida na kila kitu kimepangika vizuri kabisa hakika kuna nguvu yenye ujuzi na uwezo usio wa kawaida ambayo tunasema ni Mungu
 
Ukiachana na ulimwengu. Jinsi binadamu tu alivyotengenezwa yani ujuzi uliotumika kumtengeneza binadamu sio wa kawaida na kila kitu kimepangika vizuri kabisa hakika kuna nguvu yenye ujuzi na uwezo usio wa kawaida ambayo tunasema ni Mungu
Hivi unajua mifumo aliyonayo binadamu ndio ipo pia kwa Mbuzi , kondoo, Tembo au panya.

Binadamu Hana uspecial wowote ule
 
Kama imani " Ni kuwa na hakika" kwa mujibu wa maandiko ya kikristo mnashindwa vipi kumthibitisha Mungu yupo aka thibitika kwa hakika yupo.

Imani yenu hiyo ina uhakika kweli?
Mbona mnadai yupo Lakini hamjui yuko wapi?
Mbona unaruka ruka tena boss? Embu rudi pale nilipojibu kuwa twende na tafsiri yako ya imani tuachane na ya ukristo.
Screenshot_20230713-234744_Chrome.jpg
 
Mimi nasema Hayupo lakini, Ngoja tukubaliane Kuto kukubaliana, kila mmoja abakie na mtazamo wake.
nilikuuliza kama gari linaweza likawa limetokea tu bila kutengenezwa ukajibu haiwezekani.ila kwa binadamu hauamini kama katengenezwa?kweli akili ni nywele
 
nilikuuliza kama gari linaweza likawa limetokea tu bila kutengenezwa ukajibu haiwezekani.ila kwa binadamu hauamini kama katengenezwa?kweli akili ni nywele
Gari lime tengenezwa na binadamu

Wewe unalazimisha kila kitu kiwe na mtengenezaji si ndio? Tufanye basi binadamu katengenezwa na huyo Mungu.

Kama kila kitu lazima kiwe na mtengenezaji na huyo Mungu lazima awe ametengenezwa, Sasa Mungu ametengenezwa na nani?

Yani wewe unalazimisha binadamu awe na mtengenezaji Lakini una amini Mungu Hana mtengenezaji kwamba alitokea tu from no where!!!!

Kwa nini ushindwe kuamini na ulazimishe Binadamu alitengenezwa na uweze kuamini na ulazimishe Mungu Haku tengenezwa?

Huoni kwamba una ji contradict na msimamo wako wa kwamba lazima kila kitu kiwe na mtengenezaji?
 
Mbona unaruka ruka tena boss? Embu rudi pale nilipojibu kuwa twende na tafsiri yako ya imani tuachane na ya ukristo.View attachment 2687196
Imani ni kutokuwa na uhakika.

Hao binadamu baada ya kuona imani zao haziwapi majibu ya maswali mengi waka anza uvumbuzi na ugunduzi wa Kisayansi.

Imani ilifeli na mpaka sasa imefeli Sayansi ndio imefanikiwa kutoa majibu mengi kwa binadamu kuliko imani.
 
So you agree that behind ever creation there is a creator?!!!

Everything starts after the sun comes into existence....before the sun there was no life that is perceived...the creator has no life...the creator does not exist in this existence which depends on the SUN....
Hapa kunakitu umeongea kinaonesha jinsi gani hauna uelewa na sayansi ya anga.

Kwamba hii existence inategemea jua!?
Everything starts after the sun comes into existence.
Utazalisha maswali mengi ambayo utashindwa kuyajibu.

Hiki kijua si kitu cha ajabu wala upekee kama ynavyodhani.

Kwanini unaongelea kijinyota tu kiitwacho Sun peke yake wakati kuna mabilion ya nyota!?

Au hujui kuwa hizo nyota uzionazo hapo kwenye anga ni kama hili jua letu tu!?

Unadhan kuwa nyota ya Sun pekee ndiyo ilianza kuwepo?
 
Imani ni kutokuwa na uhakika.

Hao binadamu baada ya kuona imani zao haziwapi majibu ya maswali mengi waka anza uvumbuzi na ugunduzi wa Kisayansi.

Imani ilifeli na mpaka sasa imefeli Sayansi ndio imefanikiwa kutoa majibu mengi kwa binadamu kuliko imani.
Mkuu, inawezekana imani imetoa majibu mengi kuliko sayansi.
Lakini majibu hayo yote siyo sahihi ili kuwafanya watu wajinga wawe confortable.

Sayansi imetoa majibu yaliyo sahihi tu,
Sayansi hukiri kutojua kitu ambacho bado haijakifungua., lakini imani inajibu la kila kitu, na majibu hayo huwa ni ya uongo.
 
Mkuu, inawezekana imani imetoa majibu mengi kuliko sayansi.
Lakini majibu hayo yote siyo sahihi ili kuwafanya watu wajinga wawe confortable.

Sayansi imetoa majibu yaliyo sahihi tu,
Sayansi hukiri kutojua kitu ambacho bado haijakifungua., lakini imani inajibu la kila kitu, na majibu hayo huwa ni ya uongo.
Nime kuelewa mkuu [emoji817][emoji817]
 
Back
Top Bottom