Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

The action-movie icon terminates every 'f**king liar' who says there is life after death.

Arnold Schwarzenegger says he won’t be back. Ever. The action movie legend told “Twins” co-star Danny DeVito that heaven is a “fantasy” and that anyone who says otherwise “is a fucking liar.” In a new interview posted Tuesday, DeVito noted the threat of the water crisis and asked Schwarzenegger, “What’s in the future for us?

That prompted the former “Terminator” to take aim at the afterlife.

I said, ‘We don’t know what happens with the soul and all this spiritual stuff that I’m not an expert in, but I know that the body as we see each other now, we will never see each other again like that,’ ” Schwarzenegger continued.
“We deteriorate,” DeVito interjected.

“Except in some fantasy,” Schwarzenegger replied. “When people talk about, ‘I will see them again in heaven,’ it sounds so good, but the reality is that we won’t see each other again after we’re gone. That’s the sad part. I know people feel comfortable with death, but I don’t.”

“Arnold,” the Netflix docuseries about him, begins streaming Wednesday.

One portion disclosed this week covers Schwarzenegger’s confession in therapy to then-wife Maria Shriver that the housekeeper’s son, Joseph Baena, was his as well. The revelation prompted the couple to split in 2011.

Source: Hu
Akiwa mcheza sinema anafikiri mtazamo wake ndo unakuwa kweli?
Muongo tu na masinema yake ya uongo, ametona wajinga kwamba hadi anaanza kutuambia mambo ya baada ya kifo
ashawahi kufa akapata uzoefu?
atulie tu azeeke vizuri
 
Imani ni kutokuwa na uhakika.

Hao binadamu baada ya kuona imani zao haziwapi majibu ya maswali mengi waka anza uvumbuzi na ugunduzi wa Kisayansi.

Imani ilifeli na mpaka sasa imefeli Sayansi ndio imefanikiwa kutoa majibu mengi kwa binadamu kuliko imani.
Umekuja pazuri kweli, Sayansi imetoa majibu yapi kuhusu uwepo wa MUNGU?
 
Fikiria kidogo tu kma duniani kuna mahkama za kuwahukumu walokosea kwanini ukifa iwe ndo imeisha yni umkosee Muumba au ufanye Mema halafu Muumba asikulipe kweli!

Dah ni fikra ndogo tu hiyo
Jipe moyo dunia itakuwepo mabilion na mabilion ya miaka haina mwisho hii, ukifa ndio nitoleeni, endeleeni na hizo hadithi zenu.
 
Tatizo ukiamini inakuwa mwanzo wa upumbavu kuanzia mtu mmoja-mmoja, family, jamii na taifa..

Waliyaleta tuwe wajinga, wao hawaamini na wanaojifanya kuamini ni kimkakati tu

Ingekuwa ukiamini mtu mmoja haina shida tungewaacha muamini, tunawaingilia sababu inakwenda kuathiri jamii

Dini ni mnyororo wa ujinga.
Amini Biblia usiamini watu 100%
 
Vuta picha binadamu wote duniani wangekuwa hawaamini Mungu yupo au hawafati mafundisho ya dini. Watu tungekuwa kama wanyama. Na crime rate ingekuwa kubwa sababu ya kukosa hofu ya Mungu
Hili la crime ni utetezi usio na maana, tungejiwekea sheria kali kama za kwenye vitabu vya dini.

Then, sisali na sifanyi crime yoyote naogopa jela sio moto wakufikirika
 
God is really don't stop to bealive in him

Point of correction.

Bealive⛌
Believe[emoji736]

God is really⛌
God is real[emoji736]

"God is really don't stop to believe in him"? Soma tena ulichoandika! Unapinga au unakubali kuwa Mungu yupo?
 
Wakikaribia kufa huwa wanamkumbuka Mungu wa imani gani?

Vipi kama siku ya kufa we ukawa unamkumbuka Allah wakati kule juu yupo Yahweh, je hiyo itakuwa na manufaa yeyote kwako?

Sasa kwa mantiki hiyo ukiambiwa saizi uanze kumuabudu Yahweh utakubali kwasababu ya kuogopa siku yako ya kufa?
Kiburi cha uzima hiki God is really
 
Kifo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kifo kinaumiza watu, kinatenganisha watu, kinaleta majonzi.

Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao kifo kinachotenganisha watu wanaopendana sana, kinachowatenganisha kwa huzuni kuu na maumivu yasiyomithilika kiwezekane?

That is a contradiction.

Unaweza kutatua hii contradiction?
Maisha ana formula once ukizaliwa lazima ufe! Utakufaje? ni juhudi zako
 
Umekuja pazuri kweli, Sayansi imetoa majibu yapi kuhusu uwepo wa MUNGU?
Kuna sehemu hapo nimetaja sayansi imetoa majibu kuhusu uwepo wa Mungu?

Nime kwambia hivi , Imani ya binadamu ilifeli kuwapa majibu na uthibitisho wa maswali yao yaliyo watatiza.
(mfano wa maswali hayo ni kama, kifo ni nini? Maisha ni nini?)

Waka anza uvumbuzi na ugunduzi wa Kisayansi.
 
Back
Top Bottom