Smotor
JF-Expert Member
- Jan 3, 2021
- 2,461
- 2,058
Archimedes of Syracusenitajie mwanasayansi mmoja aliyekuwepo kabla ya muhammad kuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Archimedes of Syracusenitajie mwanasayansi mmoja aliyekuwepo kabla ya muhammad kuja
Akiwa mcheza sinema anafikiri mtazamo wake ndo unakuwa kweli?The action-movie icon terminates every 'f**king liar' who says there is life after death.
Arnold Schwarzenegger says he won’t be back. Ever. The action movie legend told “Twins” co-star Danny DeVito that heaven is a “fantasy” and that anyone who says otherwise “is a fucking liar.” In a new interview posted Tuesday, DeVito noted the threat of the water crisis and asked Schwarzenegger, “What’s in the future for us?
That prompted the former “Terminator” to take aim at the afterlife.
I said, ‘We don’t know what happens with the soul and all this spiritual stuff that I’m not an expert in, but I know that the body as we see each other now, we will never see each other again like that,’ ” Schwarzenegger continued.
“We deteriorate,” DeVito interjected.
“Except in some fantasy,” Schwarzenegger replied. “When people talk about, ‘I will see them again in heaven,’ it sounds so good, but the reality is that we won’t see each other again after we’re gone. That’s the sad part. I know people feel comfortable with death, but I don’t.”
“Arnold,” the Netflix docuseries about him, begins streaming Wednesday.
One portion disclosed this week covers Schwarzenegger’s confession in therapy to then-wife Maria Shriver that the housekeeper’s son, Joseph Baena, was his as well. The revelation prompted the couple to split in 2011.
Source: Hu
Umekuja pazuri kweli, Sayansi imetoa majibu yapi kuhusu uwepo wa MUNGU?Imani ni kutokuwa na uhakika.
Hao binadamu baada ya kuona imani zao haziwapi majibu ya maswali mengi waka anza uvumbuzi na ugunduzi wa Kisayansi.
Imani ilifeli na mpaka sasa imefeli Sayansi ndio imefanikiwa kutoa majibu mengi kwa binadamu kuliko imani.
Kila mtu aamini anachoona kinamfaa halafu mwisho wa siku mimi na wewe tukifa(lazima tufe) itafahamika moto upo au haupo
Unaugua!?Amesema hakuna Mungu?
Kwani kukiwa na Mungu lazima kuwe na pepo?
Jipe moyo dunia itakuwepo mabilion na mabilion ya miaka haina mwisho hii, ukifa ndio nitoleeni, endeleeni na hizo hadithi zenu.Fikiria kidogo tu kma duniani kuna mahkama za kuwahukumu walokosea kwanini ukifa iwe ndo imeisha yni umkosee Muumba au ufanye Mema halafu Muumba asikulipe kweli!
Dah ni fikra ndogo tu hiyo
Amini Biblia usiamini watu 100%Tatizo ukiamini inakuwa mwanzo wa upumbavu kuanzia mtu mmoja-mmoja, family, jamii na taifa..
Waliyaleta tuwe wajinga, wao hawaamini na wanaojifanya kuamini ni kimkakati tu
Ingekuwa ukiamini mtu mmoja haina shida tungewaacha muamini, tunawaingilia sababu inakwenda kuathiri jamii
Dini ni mnyororo wa ujinga.
Sawa we endelea kuamini ivoJipe moyo dunia itakuwepo mabilion na mabilion ya miaka haina mwisho hii, ukifa ndio nitoleeni, endeleeni na hizo hadithi zenu.
Na nyie endeleeni kusubiri hiyo mwisho wa dunia na siku sijui ya hukumu.Sawa we endelea kuamini ivo
Hili la crime ni utetezi usio na maana, tungejiwekea sheria kali kama za kwenye vitabu vya dini.Vuta picha binadamu wote duniani wangekuwa hawaamini Mungu yupo au hawafati mafundisho ya dini. Watu tungekuwa kama wanyama. Na crime rate ingekuwa kubwa sababu ya kukosa hofu ya Mungu
Biblia ni stories za wahenga wa kwao, tuna wahenga wetu.Amini Biblia usiamini watu 100%
God is really don't stop to bealive in him
Hoja dhaifu kabsa hiiFikiria kidogo tu kma duniani kuna mahkama za kuwahukumu walokosea kwanini ukifa iwe ndo imeisha yni umkosee Muumba au ufanye Mema halafu Muumba asikulipe kweli!
Dah ni fikra ndogo tu hiyo
Dunia Haina mwisho wewe, umekuja na utaenda na watakuja wengine nao wataenda pia, mzunguko ni huo huo tunapita ila Dunia itaendelea kuwepo.Sawa we endelea kuamini ivo
Sikwepo popotekwani kabla ya wewe kuwepo duniani ulikuwa wap?
Kiburi cha uzima hiki God is reallyWakikaribia kufa huwa wanamkumbuka Mungu wa imani gani?
Vipi kama siku ya kufa we ukawa unamkumbuka Allah wakati kule juu yupo Yahweh, je hiyo itakuwa na manufaa yeyote kwako?
Sasa kwa mantiki hiyo ukiambiwa saizi uanze kumuabudu Yahweh utakubali kwasababu ya kuogopa siku yako ya kufa?
Maisha ana formula once ukizaliwa lazima ufe! Utakufaje? ni juhudi zakoKifo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Kifo kinaumiza watu, kinatenganisha watu, kinaleta majonzi.
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao kifo kinachotenganisha watu wanaopendana sana, kinachowatenganisha kwa huzuni kuu na maumivu yasiyomithilika kiwezekane?
That is a contradiction.
Unaweza kutatua hii contradiction?
Weka uthibitishoKiburi cha uzima hiki God is really
Kama ni formula basi Haina haja kujua utakufaje mana hata ukijua haikusaidii chochoteMaisha ana formula once ukizaliwa lazima ufe! Utakufaje? ni juhudi zako
Kuna sehemu hapo nimetaja sayansi imetoa majibu kuhusu uwepo wa Mungu?Umekuja pazuri kweli, Sayansi imetoa majibu yapi kuhusu uwepo wa MUNGU?