mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
mwenzio nimemuuliza kati ya quran na sayansi kipi cha kwanza kuja duniani kakimbia.msaidieUmempa jibu fupi na zuri sana! litamsaidia kama atalitilia maanani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenzio nimemuuliza kati ya quran na sayansi kipi cha kwanza kuja duniani kakimbia.msaidieUmempa jibu fupi na zuri sana! litamsaidia kama atalitilia maanani
mungu ni mwanzo asiyekuwa na mwisho.Mungu ni nini?
Sasa Quran si imeandikwa juzi kati tu na wahuni.mwenzio nimemuuliza kati ya quran na sayansi kipi cha kwanza kuja duniani kakimbia.msaidie
Kwa nini huyo Mungu ana mwanzo na hana mwisho?mungu ni mwanzo asiyekuwa na mwisho.
Kama huna uwezo wa kujua maana zake ndio utaweza kujua ipi imeanza?mimi swali langu dogo tu.nashindwa kuelewa unapata tabu wapi.sina haja ya kujua maana zake.nimekuuliza kati ya quran na sayansi ipi ya kwanza kuja duniani hilo tu.
wewe mjanja.niambie sasa kipi kilianza kati ya quran na sayanshKama huna uwezo wa kujua maana zake ndio utaweza kujua ipi imeanza?
Mjinga wewe
WEWE AMINI HIVYO.ulimkuta na utamuacha na utakwenda kukutana nae mbinguni na ATABAKI MILELE.mungu alitoka wapi HYO SIO KAZI YETU.Kwa nini huyo Mungu ana mwanzo na hana mwisho?
Unathibitishaje mwanzo wake na ulijuaje hana mwisho?
Je hana mwisho kwa vile hujui ana mwisho?
Kwa nini unajua Mungu ana mwanzo, Lakini hujui kwa nini Hana mwisho?
nitajie mwanasayansi mmoja aliyekuwepo kabla ya muhammad kujaSasa Quran si imeandikwa juzi kati tu na wahuni.
Sayansi ipo tangu na tangu!
Tatizo ukiamini inakuwa mwanzo wa upumbavu kuanzia mtu mmoja-mmoja, family, jamii na taifa..It's better to believe there's a heaven because it's not cost full, than not and you find it....[emoji15][emoji15][emoji15]
Amesema hakuna Mungu?Wakikaribia kufa ndo kauli zao hizo,hiyo yote hofu maana ananusa harufu ya mauti na maisha yake yote alimsahau Mungu,Sasa duniani ana bangalows huko anakoenda anaona kabisa Hana kitu...hakuna Mungu yaani universe imejileta tu na sayari dunia imekua habitable(kukalika) by chance tu!!..ni kutofikiri
[emoji23][emoji23][emoji23] imebidi nicheke maana naona umeishiwa hoja kumwelezea.WEWE AMINI HIVYO.ulimkuta na utamuacha na utakwenda kukutana nae mbinguni na ATABAKI MILELE.mungu alitoka wapi HYO SIO KAZI YETU.
na hakuna anayeweza kumwelezea maana hakutaka hilo litokee.hata vitabu vyake 4.vyote hakusema ametoka wapi.ila YUPO.[emoji23][emoji23][emoji23] imebidi nicheke maana naona umeishiwa hoja kumwelezea.
Mimi nasema Hayupo lakini, Ngoja tukubaliane Kuto kukubaliana, kila mmoja abakie na mtazamo wake.na hakuna anayeweza kumwelezea maana hakutaka hilo litokee.hata vitabu vyake 4.vyote hakusema ametoka wapi.ila YUPO.
Na Mimi nipe maana zake kwanza.wewe mjanja.niambie sasa kipi kilianza kati ya quran na sayansh
Mkuu ni hayupo kama anasema yupo athibitishe uwepo wake.Mimi nasema Hayupo lakini, Ngoja tukubaliane Kuto kukubaliana, kila mmoja abakie na mtazamo wake.
Binadamu hawahitaji dini ili kujua jema.na baya.Vuta picha binadamu wote duniani wangekuwa hawaamini Mungu yupo au hawafati mafundisho ya dini. Watu tungekuwa kama wanyama. Na crime rate ingekuwa kubwa sababu ya kukosa hofu ya Mungu
Naona ameshindwa kuthibitisha uwepo wake nika ona tusi endeleze mjadala zaidi na yeye.Mkuu ni hayupo kama anasema yupo athibitishe uwepo wake.
Kwa hiyo unaamini kuna moto pia[emoji1]Tukiwa wazima huwa tunatamba na kuongea vyovyote kwa mbwembwe, subri tuelekee kwenye point of no return hapo balaa linaanza.
Katika Ulimwengu huu mwanadamu ni punje ndogo sana kuliko mchanga wa bahari, anajifanya mjuaji wakati hata 0.00000001% ya Ulimwengu huu haijui.
Ukimuuliza habari za baharini hata 10% hajui halafu anatunishiana misuli na MUNGU MKUU SANA aliyeumba vyote hivyo na kuviwekea mfumo wa kujiendesha
Kama yupo anayeweza kujiongezea japo miaka walau afikishe 2500 basi nitaelekea kusikiliza hoja zaje, nje ya hapo ni mpango wa Shetani na wafuasi wake waliouza nafsi zao kwa Lucifer kuwahadaa wana wa Mungu eti hakuna maisha baada ya kifo au Mungu hayupo ili mwisho wawe wengi huko motoni.
Na aliyetengeneza katengeneza na nan?Kwa jinsi ulimwengu ulivyo hivi lazima kunaalie utengeneza. Haukutokea bure bure, sasa ninyi kazeni vichwa kisa mmesoma vitabu vya akina Aristotle ambao nawenyewe hawapo walisha fukiwa na udongo
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app