Arnold Schwarzenegger: Heaven is 'Fantasy' and 'Nothing' happens when we die

Shida ni lugha hapa, hamjamuelewa sababu ya lugha
 
Unamjua? Mtaje
[emoji3578]
Simjui mimi maana sikuwepo wakati ulimwengu unatengenezwa. Ila najua alijua utaitaji maji ya kutumia akaweka maji, alijua utategemea mwanga akakuwekea jua, hivyo hivyo kwenye chakula na mengineyo. Ulimwengu kifupi uko systematically kuna alieuunda

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
 
Nani alitengeneza galaxy?
 
Kifo hakiumi kwa wale wanaomcha Mungu, maana wanauhakika wa kufufuliwa tena...

Biblia inasema ni heri siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa...
 
Maybe Mungu yupo lakini mambo ya moto wa milele na kufufuka havipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…