Kwani yamepinda hayo au unaonaje hapoKwanza kabisa, nyoosha maandishi.
tayariKwanza kabisa, nyoosha maandishi.
Unamjua? Mtajelazima kunaalie utengeneza
The action-movie icon terminates every 'f**king liar' who says there is life after death.
Arnold Schwarzenegger says he won’t be back. Ever. The action movie legend told “Twins” co-star Danny DeVito that heaven is a “fantasy” and that anyone who says otherwise “is a fucking liar.” In a new interview posted Tuesday, DeVito noted the threat of the water crisis and asked Schwarzenegger, “What’s in the future for us?
That prompted the former “Terminator” to take aim at the afterlife.
I said, ‘We don’t know what happens with the soul and all this spiritual stuff that I’m not an expert in, but I know that the body as we see each other now, we will never see each other again like that,’ ” Schwarzenegger continued.
“We deteriorate,” DeVito interjected.
“Except in some fantasy,” Schwarzenegger replied. “When people talk about, ‘I will see them again in heaven,’ it sounds so good, but the reality is that we won’t see each other again after we’re gone. That’s the sad part. I know people feel comfortable with death, but I don’t.”
“Arnold,” the Netflix docuseries about him, begins streaming Wednesday.
One portion disclosed this week covers Schwarzenegger’s confession in therapy to then-wife Maria Shriver that the housekeeper’s son, Joseph Baena, was his as well. The revelation prompted the couple to split in 2011.
Source: Huffpost
Simjui mimi maana sikuwepo wakati ulimwengu unatengenezwa. Ila najua alijua utaitaji maji ya kutumia akaweka maji, alijua utategemea mwanga akakuwekea jua, hivyo hivyo kwenye chakula na mengineyo. Ulimwengu kifupi uko systematically kuna alieuundaUnamjua? Mtaje
[emoji3578]
Nani alitengeneza galaxy?Kifo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Kifo kinaumiza watu, kinatenganisha watu, kinaleta majonzi.
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao kifo kinachotenganisha watu wanaopendana sana, kinachowatenganisha kwa huzuni kuu na maumivu yasiyomithilika kiwezekane?
That is a contradiction.
Unaweza kutatua hii contradiction?
Kifo hakiumi kwa wale wanaomcha Mungu, maana wanauhakika wa kufufuliwa tena...Kifo ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.
Kifo kinaumiza watu, kinatenganisha watu, kinaleta majonzi.
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao kifo kinachotenganisha watu wanaopendana sana, kinachowatenganisha kwa huzuni kuu na maumivu yasiyomithilika kiwezekane?
That is a contradiction.
Unaweza kutatua hii contradiction?
Hujaelewa swali,Kifo hakiumi kwa wale wanaomcha Mungu, maana wanauhakika wa kufufuliwa tena...
Biblia inasema ni heri siku ya kufa kuliko siku ya kuzaliwa...
Unajuaje swali linalotupa jibu sahihi ni swali la "nani" ?Nani alitengeneza galaxy?
Galaxy ziliumbwaje?, wahusika wa kuiumba ni akina nani?Unajuaje swali linalotupa jibu sahihi ni swali la "nani" ?
Hujanyoosha bado, jaribu tena au omba msaada usaidiwe kuandika.tayari
Akili za MUNGU hazichunguziki...Hujaelewa swali,
Na hivyo, hujalijibu.
Umehubiri imani yako tu.
Unataka kujua kwa nini nimeona hivyo?
Unajuaje huu ni ukweli na si hadithi za kutungwa na watu tu?Akili za MUNGU hazichunguziki...
Nilikuwa nasikia Sasa ninamjua Mungu...Unajuaje huu ni ukweli na si hadithi za kutungwa na watu tu?
hichi ndo unacho jua tu,Hujanyoosha bado, jaribu tena au omba msaada usaidiwe kuandika.
Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Maybe Mungu yupo lakini mambo ya moto wa milele na kufufuka havipoWakikaribia kufa ndo kauli zao hizo,hiyo yote hofu maana ananusa harufu ya mauti na maisha yake yote alimsahau Mungu,Sasa duniani ana bangalows huko anakoenda anaona kabisa Hana kitu...hakuna Mungu yaani universe imejileta tu na sayari dunia imekua habitable(kukalika) by chance tu!!..ni kutofikiri