Arobaini ya marehemu mama Zari Madale, inasikitisha

Ni wale wale wametoka IG wamekuja huku smart women wa Jf wengi wapo kimya siku hizi wanaibuka kwa machale sana
 
ZARI ALUCHOFANYA KWENYE MSIBA WA MAMA YAKE HAKUNA MTU MWENYE UZAZI ATAKAYEUNGA MKONO. MNAOMTETEA NA NYIE HAMNAZO.

LEO BINTI YAKO AKUZIKE KESHO AMESHAKUSAHAU. SIYO MILA ZETU WA TZ LABDA KWAO.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiwanja kinauzwa kipo Yale Yale puna nusu SAA kutoka c.centre..Ni 40 km bei nu maelewano,kiwanja vipo vya ukubwa tofauti vyote vimepimwa(kuanzia sqm.Ni 600tu) karibuni...
 
Kiwanja kinauzwa kipo Yale Yale puna nusu SAA kutoka c.centre..Ni 40 km bei nu maelewano,kiwanja vipo vya ukubwa tofauti vyote vimepimwa(kuanzia sqm.Ni 600tu) karibuni...


Kiwanja cha mpira wa miguu au cha ndege? Funguka vizuri mkuu ikiwezekana weka picha.
 
Katika uislamu hakuna kitu 40 ya marehemu.Huo no uzushi na mtume S.AW hakufanya arobaini.Zari yupo sahihi ila wafunge ndoa wasizini
 
Roho ya kimasikini hii. Pambana n hali yako
 
Hakuna kitu kizuri kama kuacha mtoto mwema duniani akuombee dua pindi uwapo kaburini

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kimfaacho mwanadamu baada ya kifo chake isipokuwa mambo matatu.

1. Mtoto mwema

2. Sadaka yenye kudumu (Ulichimba kisima watu wanafaidika na maji,Kujenga nyumba ya Ibada)

3.Elimu ambayo muhusika aliwasomesha wengine,na jamii kufaidika na maarifa yake.
 
Hakuna dish kupinda wala nini hawa ma jirani zetu wa insta lazima kila linalojiri watufahamishe ingawa tunaitwa vichupi kunuka
Hiyo kauli naona iliwauma sana. Tatizo mmezid umbea ns kuafata fata mambo ya watu. Nyie mbona yenu hayafuatiliw.
 
Zari ana roho ngumu hapa duniani ana roho saba kama za pakq
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…