Arobaini ya marehemu mama Zari Madale, inasikitisha

Sijaona hata kinachowafanya mnamshambulia ndugu yangu na shost yangu kwenye uzi wake huu, yeye kaeleza mawazo yake!
 
The lady is busy flashing picture ´om working everywhere#

https://jamii.app/JFUserGuide U BITCH.
working where you were not suppose to be.could be glad to see you working WCB or Madale.
Goldigger,
this bitch aint go no where,killing people for fame and rich isnt acceptable.
Diamond were counting yo days Bro wake up.Evil is around you.

Unajiona mjanja bwege ww utaangushwa hapo jirani tu halafu zari atacclaim kila kitu.
Na hivi mlikimbia umande😀.
 
Is it coincidence????kazika mume then Mama ..who's next???????????
 
Wewe unaiheshimu hiyo dini. Sipendangi watu Kama Nyie mnaojifanya mna uchungu wa misiba ya wenzenu.
 
Na kitu pekee ambacho mtoto anaweza kumpa mzazi wake pindi atakapokufa ni kumuombea dua.
 
Zari hana akili, diamond nae hana akili .What a vombination!Watoto wao watakuwa wanakuwa wa mwisho Darasani. Hata wale watoto wa zari wakubwa ni vilaza. Wangekuwa vipanga Zari lazima angerusha matokeo kwenye insta page yake.
Ukute hata robo ya maisha ya wasiokua na akili hujayafikia hapo ndio inauma sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichogundua watu wanaojadili maisha ya watu asilimia kubwa kama sio maskini wa fedha basi ni maskini wa akili, mtu haumlishi ,hauna mchango kwenye bills zake,hakufahamu, lakini unakaa kumjadili wakati yako tu yamekushinda. Acheni hizo basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujuzwa umuhimu wa kufanya 40,je ni hitaji la lazima la kiroho kwa mujibu wa dini ya kiislamu?
 
Zari hana akili, diamond nae hana akili .What a vombination!Watoto wao watakuwa wanakuwa wa mwisho Darasani. Hata wale watoto wa zari wakubwa ni vilaza. Wangekuwa vipanga Zari lazima angerusha matokeo kwenye insta page yake.
Khaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…