Arrest Warrant ya ICC ni ya Kipuuzi hakuna hapa Duniani mwenye Ubavu wa Kumkamata Israel Premier Netanyahu na Ole wao Wathubutu watakiona cha Moto

Arrest Warrant ya ICC ni ya Kipuuzi hakuna hapa Duniani mwenye Ubavu wa Kumkamata Israel Premier Netanyahu na Ole wao Wathubutu watakiona cha Moto

Kuna wazayuni wa kibongo huku, nina swali, kwnn wakristo wengi mnashabikia waisrael na kuwatukuza kuwa ni Taifa la Mungu? Tuseme wakristo na jews mumeungana ama vipi? Au kwsbb yesu ni muisrael lkn kwnn israel hakuna makao makuu ya ukiristo bali ni majews tu? Na la mwisho, ni kwnn mnawashabikia na kuwapenda waisreal wakati wao wanampiga huyo yesu? Na nyinyi mnajifanya mnamfuata yesu!!mbona kama wakristo hamjielewi hiviiii
Mkuu, mwazo umeuliza swali ili uelezwe lakini sentensi yako ya mwisho una jijibu mwenyewe! VIPI?
 
mkuu poleni kwa msiba lakini. sasa mnasafirisha au tunazika palepale tehran?
Mungu amsamehe alipokosea wewe na mimi we don't know when and how it could be? Kwahiyo kabla kusherehekea tufikilie safari yetu.Kwamungu tumetoka na kwake tutarejea..hivo ndio sisi wa Allah tunavosema.
 
Mnajipebdekeza wakristo wa Africa.. kwa wenye akili ni serikali zao tu wananchi woote hawana mpango na Israel...kama yupo sahihi poa ipo siku na yeye atarejea kwa aliemuumba kama ilivokuwa kwa Fraun alipata number of years aendeleze ushenzi wake na alikuwa na mashabiki pia.
tunaijua israel sana tu wala hatuna sababu ya kuilaani. Walimkataa Kristo, wakamsulubisha, walichojiapiza walikipata, adui yao anawasumbua, still hatuna chuki nao
 
Mnamzika Saa ngapi Muinamaji kwa Mola Mwenzenu?
Kumbe wewe ukitukanwa huwa ni astahili yako.
Huwa unalalamika sana kwamba kuna members humu wanakutukana.
Sasa nimeelewa.......
 
Mungu amsamehe alipokosea wewe na mimi we don't know when and how it could be? Kwahiyo kabla kusherehekea tufikilie safari yetu.Kwamungu tumetoka na kwake tutarejea..hivo ndio sisi wa Allah tunavosema.
alitakiwa aombe msamaha kipindi yupo hai, sasaivi anaomba msamaha wa nini, deadline yake imepita, hata aombe vipi anaungua moto tu. kutubu tunatubu tukiwa hai, ukifa ni adhabu.
 
Back
Top Bottom