Arrest Warrant ya ICC ni ya Kipuuzi hakuna hapa Duniani mwenye Ubavu wa Kumkamata Israel Premier Netanyahu na Ole wao Wathubutu watakiona cha Moto

Mkuu, mwazo umeuliza swali ili uelezwe lakini sentensi yako ya mwisho una jijibu mwenyewe! VIPI?
 
mkuu poleni kwa msiba lakini. sasa mnasafirisha au tunazika palepale tehran?
Mungu amsamehe alipokosea wewe na mimi we don't know when and how it could be? Kwahiyo kabla kusherehekea tufikilie safari yetu.Kwamungu tumetoka na kwake tutarejea..hivo ndio sisi wa Allah tunavosema.
 
tunaijua israel sana tu wala hatuna sababu ya kuilaani. Walimkataa Kristo, wakamsulubisha, walichojiapiza walikipata, adui yao anawasumbua, still hatuna chuki nao
 
Mnamzika Saa ngapi Muinamaji kwa Mola Mwenzenu?
Kumbe wewe ukitukanwa huwa ni astahili yako.
Huwa unalalamika sana kwamba kuna members humu wanakutukana.
Sasa nimeelewa.......
 
Mungu amsamehe alipokosea wewe na mimi we don't know when and how it could be? Kwahiyo kabla kusherehekea tufikilie safari yetu.Kwamungu tumetoka na kwake tutarejea..hivo ndio sisi wa Allah tunavosema.
alitakiwa aombe msamaha kipindi yupo hai, sasaivi anaomba msamaha wa nini, deadline yake imepita, hata aombe vipi anaungua moto tu. kutubu tunatubu tukiwa hai, ukifa ni adhabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…