Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,562
- 3,715
Wanahamu na ubingwa hawa sema tu wabahili
•Man United watakuwa na kikosi kizuri lakini hawana kocha wa makombe😂
•Man City Target yao kubwa kuchukua ubingwa wa UEFA.
•Liverpool kocha atafukuzwa kwa maslai mapana ya klabu.
•Chelsea wataonyesha ushindani top 4.
•Tottenham top six
•Arsenal ni bingwa hatoshiliki masindano mengi zaidi ya karabao na primier league, nguvu kubwa atawekeza kushinda mechi za ligi wachezaji watakuwa na mda mwingi wa kupumzika na kutrain dhidi ya mpinzani ajae.
•Man United watakuwa na kikosi kizuri lakini hawana kocha wa makombe😂
•Man City Target yao kubwa kuchukua ubingwa wa UEFA.
•Liverpool kocha atafukuzwa kwa maslai mapana ya klabu.
•Chelsea wataonyesha ushindani top 4.
•Tottenham top six
•Arsenal ni bingwa hatoshiliki masindano mengi zaidi ya karabao na primier league, nguvu kubwa atawekeza kushinda mechi za ligi wachezaji watakuwa na mda mwingi wa kupumzika na kutrain dhidi ya mpinzani ajae.