Arsenal asipochukua ubingwa wa ligi msimu 2021/2022 watakuwa wamejitakia wenyewe

Arsenal asipochukua ubingwa wa ligi msimu 2021/2022 watakuwa wamejitakia wenyewe

Nadnani strategy ya Chelsea ndio nzuri inafanya timu kuwa flexible

Asernane na manure walikaa Sana na makocha inawapa tabu kuadjust

Na mbaya zaidi mpira wa Sasa ni pesa na uwekezaji mzuri kwa wachezaji

Chelsea wo hawana hii culture ya kukaa na kocha mda mrefu kocha Kama haja deliver anafungashwa virago


Kila siku dunia wanaibuka makocha Bora .

Miaka 10 iliyopita no one aliyemjua tuchel

Miaka 10 ijayo Kama hatokuwa na consistency no one will care about mtazame Mourinho pale alipo kabaki kutembelea jina tu Hana maajabu yeyote anaelekea kwenye uchizi soon[emoji1]
 
Nadnani strategy ya Chelsea ndio nzuri inafanya timu kuwa flexible

Asernane na manure walikaa Sana na makocha inawapa tabu kuadjust

Na mbaya zaidi mpira wa Sasa ni pesa na uwekezaji mzuri kwa wachezaji

Chelsea wo hawana hii culture ya kukaa na kocha mda mrefu kocha Kama haja deliver anafungashwa virago


Kila siku dunia wanaibuka makocha Bora .

Miaka 10 iliyopita no one aliyemjua tuchel

Miaka 10 ijayo Kama hatokuwa na consistency no one will care about mtazame Mourinho pale alipo kabaki kutembelea jina tu Hana maajabu yeyote anaelekea kwenye uchizi soon[emoji1]
Chelsea hawana mambo ya kuvumiliana eti ukae miaka 2 bila kombe haha nani kasema.
 
Back
Top Bottom