Et Liverpool wanasema beki wao bora amepona kwahiyo clean sheets zitakuwa za kutosha... Liverpool kama hawaongezi wachezaji wa ubora huyo kulopu atakuma ndevu mpaka zitokeUsiitaje liverpool kwenye mambo ya kijinga [emoji38][emoji38][emoji38].
Sema nini man u wanamkosi asee
Nadhani hufuatilii historia. Unaifahahamu leicester city?ipande daraja ichukue ubingwa?
Hebu kuwa serious kidogo 😁😁Inashiriki championship mi mtabe wa hizo timu
kwahiyo FA Arsenal halimuhusu😲Wanahamu na ubingwa hawa sema tu wabahili
•Man United watakuwa na kikosi kizuri lakini hawana kocha wa makombe😂
•Man City Target yao kubwa kuchukua ubingwa wa UEFA.
•Liverpool kocha atafukuzwa kwa maslai mapana ya klabu.
•Chelsea wataonyesha ushindani top 4.
•Tottenham top six
•Arsenal ni bingwa hatoshiliki masindano mengi zaidi ya karabao na primier league, nguvu kubwa atawekeza kushinda mechi za ligi wachezaji watakuwa na mda mwingi wa kupumzika na kutrain dhidi ya mpinzani ajae.
Msimu huu tukiingia top 4 ni bahati sana..Msimu huu wanachukua kombe la ligi.
Endelea kuota.Pamoja na ubora mdogo wa wachezaji anaweza kuchukua ubingwa.
Aubameyang amefunga goli 20+ kwa misimu mitano mfululizo isipokuwa last season, kitu nilichogundua kwa Arsenal fans ni too much negativity ht kwa ishu zisizo msingi.Msimu huu tukiingia top 4 ni bahati sana..
Hatuna timu ya ushindani , hatuna striker mwe nye uhakika wa kupiga goli 20+ , beki zetu tiamaji tiamaji, wakina willian wana vitambi sasa hivi. Tumebaki tunategemea watoto wa miaka 19 wakitoka shule waje kutubeba.
Weee noma sana wachina hawaoni vizuriNimeamini Wachina huwa hamuoni vizuri mchana.
Leicester city umemueka wapWanahamu na ubingwa hawa sema tu wabahili
•Man United watakuwa na kikosi kizuri lakini hawana kocha wa makombe[emoji23]
•Man City Target yao kubwa kuchukua ubingwa wa UEFA.
•Liverpool kocha atafukuzwa kwa maslai mapana ya klabu.
•Chelsea wataonyesha ushindani top 4.
•Tottenham top six
•Arsenal ni bingwa hatoshiliki masindano mengi zaidi ya karabao na primier league, nguvu kubwa atawekeza kushinda mechi za ligi wachezaji watakuwa na mda mwingi wa kupumzika na kutrain dhidi ya mpinzani ajae.
😀😀Arsenal tusipomfukuza Arteta na kufanya usajiri serious basi tutaishia kuchukua FA