uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
- Thread starter
-
- #41
KESHO AKITOBOA KWA NEWCASTLE MOTO UTAWAKA
Liver uyo uyo alimpiga man city.. mpe gunnerz pongezi zake
Huo mzunguko wa pili we unadhani timu gani zinaweza kumshusha ARSENAL hapo juu?
Umeuanza mwaka vibaya ndugu,sasa mbona tabu utaipata sana....maana hao hawashiki mpaka may.......
Kwahiyo Chelsea ya kipindi kile na Chelsea ya saizi ipi ina unafuu?
Sawa Arsenal babebi ubingwa, kwahiyo bingwa ni nani?
Huyo wa man atafukuzwa kabla ya jua kuchwa
Yaani kuongoza ligi kwa points 8 toka 7 za awali ndio unaita kushuka?Mmeanza kushuka utakumbia hapa
Yaani kuongoza ligi kwa points 8 toka 7 za awali ndio unaita kushuka?
Kwa taarifa yako mechi tuliyokuwa tunahofia ni hii ya Newcastle na ingine ni ya Aston Ville. Hao wengine tunawanywa kama mtori
Tutakumbushana chiefUlishindwa kumfunga manchester united akiwa hajaunganika sio rahisi kumfunga sasahivi
Wana moments zao hao sio wa kuwachukulia poa especially kwenye game kubwaLiverpool ya msimu huu ni kimeo
Mlisema mpaka ifike Christmas tutakuwa nafasi ya piliMpaka January insisha mtakuwa nafasi ya pili
Mlisema mpaka ifike Christmas tutakuwa nafasi ya pili
Kwa hiyo mlipokuwa mnasema maneno yenu hamkujua kuna World cup? Na toka ligi irejee Arsenal hawajapoteza mchezo ukumbuke. Na kati ya mechi ngumu tulizotarajia ilikuwa ya Newcastle.Ligi ulisimama
TUtakumbushana chief
Ulishindwa kumfunga manchester united akiwa hajaunganika sio rahisi kumfunga sasahivi
Imefika siku yake