Arsenal haijacheza na timu bora tuipime, kusema watachukua ubingwa ni matusi makubwa kwa wapenda mpira

Arsenal haijacheza na timu bora tuipime, kusema watachukua ubingwa ni matusi makubwa kwa wapenda mpira

Ukweli ni kuwa arsenal anaongoza ligi kwa bahati bahati hivi ngekewa ngekewa hivi utani utani hivi.

Arsenal amecheza mechi ngumu moja tu ya manchester united hawa ndio walimpa challenge.

Kwahiyo vijana na mashabiki wa arsenal wasije weka matarajio ya ubingwa.

Bahati ya leicester city kuchukua ubingwa kibahati bahati haiwezi kujirudia.

Huwezi kuchukua ubingwa ukiwa na beki mbovu km saliba na margheles. Huwezi kuchukua ubingwa ukiwa na golikipa kimeo km yule.

Uchukue ubingwa nketia au Jesus ni forward? Huu utani wa kijinga kabisa wenzao leicester walikuwa na vardy ngolo,mahrez walikuwa wakali kuliko saka,martnel na partey.

Nakubali wachezaji km saka,partey na martinel wanauwezo wa kuridhisha ila sio hatari hawajafikia ubora wa juu.

Arsenal atafuzu UEFA ila ubingwa wa epl hawachukui.

na yule kocha wa manchester united anaweza akashinda ligi mapema kuliko kocha wa arsenal kwasababu kocha manchester united anampa wakiutu uzima zaidi km alivyo ancelot wa madrid.
Duuuh
Watu wanaumia jamani.

Huyu mtu anaweza hata kujinyonga afe, kuliko kuona GUNNERS wanabeba ndoo.

Watu wanaomfahamu wawe karibu naye sama huyu, tunaweza kumpoteza kimasihara tuu.
 
Ukweli ni kuwa arsenal anaongoza ligi kwa bahati bahati hivi ngekewa ngekewa hivi utani utani hivi.

Arsenal amecheza mechi ngumu moja tu ya manchester united hawa ndio walimpa challenge.

Kwahiyo vijana na mashabiki wa arsenal wasije weka matarajio ya ubingwa.

Bahati ya leicester city kuchukua ubingwa kibahati bahati haiwezi kujirudia.

Huwezi kuchukua ubingwa ukiwa na beki mbovu km saliba na margheles. Huwezi kuchukua ubingwa ukiwa na golikipa kimeo km yule.

Uchukue ubingwa nketia au Jesus ni forward? Huu utani wa kijinga kabisa wenzao leicester walikuwa na vardy ngolo,mahrez walikuwa wakali kuliko saka,martnel na partey.

Nakubali wachezaji km saka,partey na martinel wanauwezo wa kuridhisha ila sio hatari hawajafikia ubora wa juu.

Arsenal atafuzu UEFA ila ubingwa wa epl hawachukui.

na yule kocha wa manchester united anaweza akashinda ligi mapema kuliko kocha wa arsenal kwasababu kocha manchester united anampa wakiutu uzima zaidi km alivyo ancelot wa madrid.
Hebu rudia tena huu Utopolo wako
 
Screenshot_20230502-023132~2.png
 
Ukweli ni kuwa arsenal anaongoza ligi kwa bahati bahati hivi ngekewa ngekewa hivi utani utani hivi.

Arsenal amecheza mechi ngumu moja tu ya manchester united hawa ndio walimpa challenge.

Kwahiyo vijana na mashabiki wa arsenal wasije weka matarajio ya ubingwa.

Bahati ya leicester city kuchukua ubingwa kibahati bahati haiwezi kujirudia.

Huwezi kuchukua ubingwa ukiwa na beki mbovu kama Saliba na Margheles. Huwezi kuchukua ubingwa ukiwa na golikipa kimeo kama yule.

Uchukue ubingwa Nketia au Jesus ni forward? Huu utani wa kijinga kabisa wenzao Leicester walikuwa na Vardy, Ngolo, Mahrez walikuwa wakali kuliko saka, Martnel na Partey.

Nakubali wachezaji km saka,partey na martinel wanauwezo wa kuridhisha ila sio hatari hawajafikia ubora wa juu.

Arsenal atafuzu UEFA ila ubingwa wa EPL hawachukui.

Na yule kocha wa manchester united anaweza akashinda ligi mapema kuliko kocha wa arsenal kwasababu kocha manchester united anampa wa kiutu uzima zaidi kama alivyo Ancelot wa Madrid.

Kuna watu mnajua kuusoma mchezo
 
Kwba Arsenal Ilikuwa basikeli ya kunolea visu kwenye mabucha?
 
Timu kubwa ipi ambayo Arsenal Haijacheza nayo?

Liverpool 2 - 3 Arsenal

Arsenal 3 - 1 Tottenham

Chelsea 0 - 1 Arsenal

Man u 3 - 1 Arsenal

Sasa sijajua unaongelea timu kubwa ipi,kama ni Man city hata wao wanaohofia kukutana na Arsenal
Naww ukawa bize kutype hivi.
 
Unadhani mpira wa Ulaya kama
Bongo kwamba lazima uwe MAyele au Chama ndio ushinde
Mpira saivi ni formula tu ukiingia
Kwenye mfumo wa mtu unakaa

Hata angekuwa Beki Onyango au Kipa Ahmada Arsenal watabeba tu😅😅😅
Mkuu skuelewi kabisa.
 
Ukweli ni kuwa arsenal anaongoza ligi kwa bahati bahati hivi ngekewa ngekewa hivi utani utani hivi.

Arsenal amecheza mechi ngumu moja tu ya manchester united hawa ndio walimpa challenge.

Kwahiyo vijana na mashabiki wa arsenal wasije weka matarajio ya ubingwa.

Bahati ya leicester city kuchukua ubingwa kibahati bahati haiwezi kujirudia.

Huwezi kuchukua ubingwa ukiwa na beki mbovu kama Saliba na Margheles. Huwezi kuchukua ubingwa ukiwa na golikipa kimeo kama yule.

Uchukue ubingwa Nketia au Jesus ni forward? Huu utani wa kijinga kabisa wenzao Leicester walikuwa na Vardy, Ngolo, Mahrez walikuwa wakali kuliko saka, Martnel na Partey.

Nakubali wachezaji km saka,partey na martinel wanauwezo wa kuridhisha ila sio hatari hawajafikia ubora wa juu.

Arsenal atafuzu UEFA ila ubingwa wa EPL hawachukui.

Na yule kocha wa manchester united anaweza akashinda ligi mapema kuliko kocha wa arsenal kwasababu kocha manchester united anampa wa kiutu uzima zaidi kama alivyo Ancelot wa Madrid.
Mwamba huyu hapa
 
Arsenal wanasema "mwaka huu ngoma ya watoto itakesha". Nasema hivyo kwa sababu kuna watu wana tabia ya kuidharau sana arsenal wanadai ni watoto na wanadai ngoma ya watoto haikeshi!!
Kwani ilishawahi kukesha?
 
Back
Top Bottom