uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Wewe unaposikia club kubwa unaelewaje kwanza ?tuanzie hapo
Utatukanwa wewe !Arsenal ina miaka saba haijashiriki mechi za Klabu Bingwa Ulaya chini ya Kocha Mikel Arteta.
Timu kubwa hata isipochukua ubingwa wa EPL haiwezi kukaa miaka saba bila kucheza UEFA, hii inamaanisha wameshindwa kupata nafasi nne za juu kwenye msimamo wa ligi kwa miaka saba mfululizo.
Arsenal haina tofauti na Tottenham Hotsupers
Kwa kuwa Jamii Forums kuna mabindiko yako pinned juu kwa kila timu, ningeomba Moderator auondoe uzi wa Arsenal kwenye sehem ya uzi maalmu kwasababu inakosa sifa ya kuwa timu kubwa.
Asante.
Utaugua bawasiri bure kwa kuwachukia mabingwa wa EPL.Arsenal ina miaka saba haijashiriki mechi za Klabu Bingwa Ulaya chini ya Kocha Mikel Arteta.
Timu kubwa hata isipochukua ubingwa wa EPL haiwezi kukaa miaka saba bila kucheza UEFA, hii inamaanisha wameshindwa kupata nafasi nne za juu kwenye msimamo wa ligi kwa miaka saba mfululizo.
Arsenal haina tofauti na Tottenham Hotsupers
Kwa kuwa Jamii Forums kuna mabindiko yako pinned juu kwa kila timu, ningeomba Moderator auondoe uzi wa Arsenal kwenye sehem ya uzi maalmu kwasababu inakosa sifa ya kuwa timu kubwa.
Asante.
Achana na huyo kiazi kaijua EPL mwaka 2020.Wewe unaposikia club kubwa unaelewaje kwanza ?tuanzie hapo
Anadhihirisha ushamba wakeUna Umri gani?
Umeanza kushabikia clubs za ulaya lini?
Unasemaje Arsenal ni sawa na Tottenham?
Una Umri gani?
Umeanza kushabikia clubs za ulaya lini?
Unasemaje Arsenal ni sawa na Tottenham?
Utaugua bawasiri bure kwa kuwachukia mabingwa wa EPL.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Achana na huyo kiazi kaijua EPL mwaka 2020.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app