Arsenal ina miaka saba haijacheza UEFA! Je, inafaa kuitwa timu kubwa?

Arsenal ina miaka saba haijacheza UEFA! Je, inafaa kuitwa timu kubwa?

Unajisahau sahau sana nimekataza kutumia emoji za kujichekesha kwangu mimi sili uchafu wako
Sasa mbona umepunguza matusi na KUCHAMBA???

OK, back to the topic, umeipata hiyo miaka ya Arsenal as the EPL champions? [emoji13]
 
Mjadala umeharibiwa na shoga la ningekupa elimu ukaijua Arsenal yako
Unipe elimu ya Arsenal ilihali hata HUJUI imechukua EPL Cup mara ngapi??

Kuleta matusi ni dalili ya kuishiwa hoja
 
Nataka uniambie km umeacha iyo tabia ya kufumuliwa spika

Nirudi tuongee kimichezo
Siwezi kujadili sports news na Mtu asiyekuwa na Facts zaidi ya michambo na matusi ya walioshindwa hoja
 
Hayo sio matusi hayo ni maswali ya msingi

Je utaacha hiyo tabia yako ya kishetwani?
Umenitukana sana, mimi sijakutukana ila nilitaka tu unijibu

Sichukii ukinitukana, ila tu jibu maswali twende kiustaarabu as sports men
 
Hayo sio matusi hayo ni maswali ya msingi

Je utaacha hiyo tabia yako ya kishetwani?
Ngoja nikupe ushindi, kuwa umeshinda baada ya kunitusi na kuleta mambo ya ushoga kwenye mada ya Soccer

Hongera kwa ushindi Mkuu

USHAURI, wakati mwingine ni vyema ukaandika vitu vyenye ukweli na sio Uongo
 
Back
Top Bottom