Arsenal vs Chelsea

Arsenal vs Chelsea

Chelsea anabamizwa asubuhi tu kwa sababu wana mchezo ambao Arsenal wanaweza kuuhimili. Nataraji magoli kadhaa ya arsenal ktk mtindo wa counter attack, hii itatokana na Chelsea kupenda umiliki wa mpira lakini madhara hafifu kwa mpinzani. Kingine kitakachoipa ushindi Arsenal ni FOWARD LINE ya Aubameyang na Lacazette aisee! Hawa jamaa ni LETHAL
Haya tupe mtejesho sasa nin kimeikmba forward line ya lacazete na mwenzake aubemeyang
 
Chelsea anabamizwa asubuhi tu kwa sababu wana mchezo ambao Arsenal wanaweza kuuhimili. Nataraji magoli kadhaa ya arsenal ktk mtindo wa counter attack, hii itatokana na Chelsea kupenda umiliki wa mpira lakini madhara hafifu kwa mpinzani. Kingine kitakachoipa ushindi Arsenal ni FOWARD LINE ya Aubameyang na Lacazette aisee! Hawa jamaa ni LETHAL
Kweli wewe ni mchambuzi mzuri sana, bado unaamini ulichokuwa unakiamini..?
 
Mpaka first half inaisha arsenal 0- Chelsea 2.
Second half dakika ya 51 Arsenal inapata bao.
Dakika ya 74 Arsenal naandika bao la pili.
Dakika ya 86 Arsenal inasokomeka bao la tatu.
Full time Arsenal 3 Chelsea 2
Kweli nikajua unaweza ndumba kumbe holaaa.
 
nimehacha kuishabikia arsenal kuanzia leo naamia man city ,kma watu wanabadilisha dini ije kuwa club ya mpira, litimu kila cku lenyewe ni kusindikiza wenzake tu
Hahahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Acha hasira rafiki yangu timu ni sawa na kabila huwezi hama.
 
Back
Top Bottom