Arsene Bucuti, Msemaji wa Vital O ajiuzulu, ni baada ya Kichapo kutonga Yanga Afrika

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906

Arsene Bucuti, Msemaji wa Timu ya Mpira kutoka Burundi ya Vital O, ameamua kujiuzulu. Ni baada ya Timu yake kufungwa na Timu kutoka Tanzania ya Young Africans.

Amesema ametimiza ahadi yake.

Kabla ya Mchezo uliochezwa Azam Complex Mkoani Dar Es Salaam, aliahidi kwamba Timu yake ya Vital O, ingeinywa Yanga kama Supu lakini mambo yameenda tofauti.

Soma Pia: Msemaji wa Vital'o kujiuzulu kama wakifungwa na Yanga

 
Aache uninga wake huyo! Asubirie kwanza mechi ya marudio ndiyo ajiuzulu sasa.
 
Hii ni comedy ilitengenezwa ili kufanya promotion ya mechi...kwanza hao VITALO wangekuwa serious wasingeleta team kucheza DAR home kwa mpinzani hata kwao kuna tatizo...
Ni vitimu ambavyo havinaga malengo makubwa ya tournaments ...
 
Hii ni comedy ilitengenezwa ili kufanya promotion ya mechi...kwanza hao VITALO wangekuwa serious wasingeleta team kucheza DAR home kwa mpinzani hata kwao kuna tatizo...
Ni vitimu ambavyo havinaga malengo makubwa ya tournaments ...
Yanga uwekezaji kwa wachezaji bilioni 4.3 wao milioni 700 niliwasikia watangazaji wa Azam tv
 
Tarehe 24-08-2024 Yanga sc wameomba iwe siku ya shamra shamra za mwanzo wa mashindano ya CAFCL ,(kuchele,)
 
Yanga uwekezaji kwa wachezaji bilioni 4.3 wao milioni 700 niliwasikia watangazaji wa Azam tv
Hata 700 million ni nyingi sana kwa kikosi cha timu ile. Hawana hata foreigner mmoja kwenye kikosi zinafikaje milion 700. Wao ni sawa na timu kama zetu za championship.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…