Kwa hatua aliofikia Professor AW pale Arsenal ni dhahiri kiburi chake sasa ni grade'A' au waweza sema ni kiwango cha lami...
Kwanini nasema hivi... mzee ameamua kucheza na akili za mashabiki...Je nikweli kashindwa kuwapa Monaco iyo £5m kufikia £50m kumpata kiungo huyo...?
La hasha mzee anajua sio bodi, mashabiki wala wamiliki wa timu wanaweza mfanya kitu....
Kumpa AW kandarasi mpya ilikuwa ni kisu cha bucha shingoni mwa AFC....
Mashabiki wa Arsenal hesabuni miaka miwili ya maumivu...
[HASHTAG]#wengerhayukoserious[/HASHTAG]
Kwanini nasema hivi... mzee ameamua kucheza na akili za mashabiki...Je nikweli kashindwa kuwapa Monaco iyo £5m kufikia £50m kumpata kiungo huyo...?
La hasha mzee anajua sio bodi, mashabiki wala wamiliki wa timu wanaweza mfanya kitu....
Kumpa AW kandarasi mpya ilikuwa ni kisu cha bucha shingoni mwa AFC....
Mashabiki wa Arsenal hesabuni miaka miwili ya maumivu...
[HASHTAG]#wengerhayukoserious[/HASHTAG]