Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Comment ya kipumbavu sana, kwahiyo utopolo kutokuwemo kwenye afl ndo wajanja?Kombe la wajinga na sijui wamepataje timu,wkt ilibid wachukue semi final teams from caf federation nd champ.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment ya kipumbavu sana, kwahiyo utopolo kutokuwemo kwenye afl ndo wajanja?Kombe la wajinga na sijui wamepataje timu,wkt ilibid wachukue semi final teams from caf federation nd champ.
Hakikisheni huyo mzee haondoki Tz bila ya kuwa na a/ c hapa JF.Tunamuhitaji Sana huko kwenye Uzi wa Arsenal.
Wangefanya hivi kuna baadhi ya team ambazo ziliotea tu kuwemo zingepatq nafasi, ndiomaana wakatumia vigezo vingine ili kupata team ambazo ushiriki wao huko CAFCL&CAFCC sio wa kubahatisha.Kombe la wajinga na sijui wamepataje timu,wkt ilibid wachukue semi final teams from caf federation nd champ.
Kwa kiwango hiki, inabidi tuwaelewe tu uto wanapoumwa sana na wivu!!Kocha wa zamani wa Arsenal ambaye kwa sasa ni Mkuu wa maendeleo ya soka wa FIFA, Arsene WENGER tayari ametua nchini Tanzania kwa ajili ya kuitazama mechi ya ufunguzi wa Mashindano ya African Football League kati ya wenyeji Simba SC dhidi ya Al Ahly katika dimba la Benjamin Mkapa.
--
Mkufunzi wa zamani wa Arsenal FC Mfaransa Arsene Wenger na Mwamuzi Mstaafu wa FIFA Pierluigi Collina ni miongoni mwa ujumbe uliombatana na Rais wa FIFA Gianni Infantino Kwa ajili ya mchezo wa ufunguzi wa African Football League 2023 baina ya Simba Sc dhidi ya Al Ahly ya Misri utakaochezwa Benjamin Mkapa Saa 12:00 Jioni.
Kigezo kilichotumika ni kuchukua timu zilizojikusanyia pointi nyingi katika kipindi cha miaka 5 iliyopita!! LOGIC HAPA NI KUPATA TIMU ZENYE MWENDELEZO WA UBORA!! Siyo inayoibuka leo from nowhere na kufika fainali ya kombe la losers!! Ndiyo maana TP Mazembe imo japokuwa haikufanya vizuri msimu uliopita ila ina pointi nyingi katika kipindi cha miaka 5!! Haya Uto tuambieni mna pointi ngapi caf katika kipindi cha miaka 5 iliyopita?Kombe la wajinga na sijui wamepataje timu,wkt ilibid wachukue semi final teams from caf federation nd champ.
Unapoteza tu muda..kwani hawajui? Wanadhihirisha tu vile wasivyo na akiliKigezo kilichotumika ni kuchukua timu zilizojikusanyia pointi nyingi katika kipindi cha miaka 5 iliyopita!! LOGIC HAPA NI KUPATA TIMU ZENYE MWENDELEZO WA UBORA!! Siyo inayoibuka leo from nowhere na kufika fainali ya kombe la losers!! Ndiyo maana TP Mazembe imo japokuwa haikufanya vizuri msimu uliopita ila ina pointi nyingi katika kipindi cha miaka 5!! Haya Uto tuambieni mna pointi ngapi caf katika kipindi cha miaka 5 iliyopita?
Naunga hojaHakikisheni huyo mzee haondoki Tz bila ya kuwa na a/ c hapa JF.Tunamuhitaji Sana huko kwenye Uzi wa Arsenal.