ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
Nina siku ya nne leo tokea nimalize dozi ya siku tatu ya Dawa za malaria aina ya Artequine toka Swiss. Nilishairiwa ni njema na makini kwa malaria ili isijirudie. Hata hivyo nilipomaliza tu dozi nikaanza kupata kizunguzungu kikali sana, moyo ukawa unaenda kasi kama BP imepanda na mwili ku chill. Leo siku ya nne kizunguzungu sio sana ila nipo restless mwili kama umepigwa shot ya umeme; unashtuka hata kusikua kelele za mlango; sijisikii vyema kusikiliza watu wakiongea; kichwa kizito na napoteza umakini (concentration).
Nimeonana na Tabibu anasema ni hali ya kawaida.
Wataalamu wa Afya mnaoifahamu hii dawa tafadhali naomba ushauri...au kwa waliopata kutumia.
Nimeonana na Tabibu anasema ni hali ya kawaida.
Wataalamu wa Afya mnaoifahamu hii dawa tafadhali naomba ushauri...au kwa waliopata kutumia.