Arudisheje hisia kwa mumewe? ...Msaada tafadhali

Arudisheje hisia kwa mumewe? ...Msaada tafadhali

Huo ni ukweli kwa wanawake asilimia kubwa wanaotoka nje ya ndoa. Huwa hawacheat; wanapenda! Kwa hiyo usiombe mkeo atoke nje jua umemkosa kimoja. Wanaume ndio wanacheza hako kamchezo kama kunywa maji; kwa mwanamke possiblity ya kutokomea ni kubwa saana.

Mimi hili nakupinga kabisa. Wapo wanawake wengi tu wanaochiti ambao hawataki kubadili hali zao za kiunyumba. Mimi ni mwanachama wa AFFAIRS GUARANTEED - Cheating Partners Have An Affair Married Dating. Huu ni mtandao wa watu wanaotaka kuwa na affairs kisirisiri.

Nilijiunga baada ya kuusikia sana ukiwa unatangazwa. The curious George in me said ' let me sign up and check it out'. And sure I did. Kila mara huwa napokea profiles za wake za watu ambao wanatafuta affairs. Katika observation yangu nimeona wapo wanawake wengi sana wanaocheat lakini bado wanasema wanawapenda waume zao. Moja ya masharti yao huwaga ni "I don't want to change my situation and neither do I want to change yours."

Pia wengi huwaga wanasema "I don't want to leave my husband but I need someone to fill what I'm missing at home"! Wengine wanacheat kwa ajili ya thrill tu. Sasa mimi nataka kujua hiyo asilimia kubwa yako ya wanaopenda ni ngapi katika mlinganyo wa asilimia 100.

Na hii sijatunga. Ukitaka ninaweza kabisa kukufowadia hizo barua pepe za profiles zao. It is unbelievable what people do.
 
Mimi hili nakupinga kabisa. Wapo wanawake wengi tu wanaochiti ambao hawataki kubadili hali zao za kiunyumba. Mimi ni mwanachama wa AFFAIRS GUARANTEED - Cheating Partners Have An Affair Married Dating. Huu ni mtandao wa watu wanaotaka kuwa na affairs kisirisiri.

Nilijiunga baada ya kuusikia sana ukiwa unatangazwa. The curious George in me said ' let me sign up and check it out'. And sure I did. Kila mara huwa napokea profiles za wake za watu ambao wanatafuta affairs. Katika observation yangu nimeona wapo wanawake wengi sana wanaocheat lakini bado wanasema wanawapenda waume zao. Moja ya masharti yao huwaga ni "I don't want to change my situation and neither do I want to change yours."

Pia wengi huwaga wanasema "I don't want to leave my husband but I need someone to fill what I'm missing at home"! Wengine wanacheat kwa ajili ya thrill tu. Sasa mimi nataka kujua hiyo asilimia kubwa yako ya wanaopenda ni ngapi katika mlinganyo wa asilimia 100.

Na hii sijatunga. Ukitaka ninaweza kabisa kukufowadia hizo barua pepe za profiles zao. It is unbelievable what people do.

niforwadie mimi aisee...
 
Dah! Hii habari inatufundisha tusitafute washefa.
Kurudisha hisia huwa ni ngumu na huyo dada anahitaji support kubwa kutoka kwa mumewe ili aweze kufanya hivyo. Katika hili Mwanaume hapo ndio inabidi afanye juu chini aweze kuzirudisha hisia za mkewe maana yeye ndio chanzo.
 
La hasha,...Natamani huyo mwanadada nae aingiwe na moyo wa huruma kwa mwanamke mwenzake.
Tatizo la balaa hili,
mfariji mzuri kwenye case hizi mara nyingi na kwa asilimia kubwa atakuwa mume/mke wa mtu.
Hii ni mtake msitake, na anayebisha aje atoe ushuhuda wake hapa.


Ufariji lengo lake la awali huwa ni kusikilizwa,....kueleweka, ...na mwisho kuliwazwa.
Hapa bado nazungumzia mahusiano ya mwanamke na 'mfariji' bila kuhusisha ngono
, kwani tendo hilo
(la ngono) si faraja inayofuatwa nje na wanawake walio wengi walio kwenye mahusiano yenye misukosuko
ya ndoa yao (wanaohitaji faraja ya moyo)





Mbu hebu njoo kwanza utoe ushahidi wako kwenye hilo la wafariji asilimia kubwa kuwa mke/mume wa mtu.....

hapa bado mfarijiwa na yeye anaumiza ndoa ya mwenzie kwa kutembea na mume wa mtu na mimi kwenye hili kosa simtoi mpaka mnishawishi vinginevyo.
 
Ila mume wa huyo dada nae ni character; eh! Yani kuna mwanaume leo hii anamjua mwizi wake na wizi unaendelea yeye hana habari?? Au ni mzee?? Otherwise naona mdada na mshefa wake maisha yao yako hatarini. Huyo mwanaume wanayemuona ***** atakuja wafanya kitu mbaya na hivi umesema ni violent! Hatuombei lakini wakae na bullet proof.
 
Wewe Nyani wewe??? How can you measure feelings through narratives????
Mimi hili nakupinga kabisa. Wapo wanawake wengi tu wanaochiti ambao hawataki kubadili hali zao za kiunyumba. Mimi ni mwanachama wa AFFAIRS GUARANTEED - Cheating Partners Have An Affair Married Dating. Huu ni mtandao wa watu wanaotaka kuwa na affairs kisirisiri.

Nilijiunga baada ya kuusikia sana ukiwa unatangazwa. The curious George in me said ' let me sign up and check it out'. And sure I did. Kila mara huwa napokea profiles za wake za watu ambao wanatafuta affairs. Katika observation yangu nimeona wapo wanawake wengi sana wanaocheat lakini bado wanasema wanawapenda waume zao. Moja ya masharti yao huwaga ni "I don't want to change my situation and neither do I want to change yours."

Pia wengi huwaga wanasema "I don't want to leave my husband but I need someone to fill what I'm missing at home"! Wengine wanacheat kwa ajili ya thrill tu. Sasa mimi nataka kujua hiyo asilimia kubwa yako ya wanaopenda ni ngapi katika mlinganyo wa asilimia 100.

Na hii sijatunga. Ukitaka ninaweza kabisa kukufowadia hizo barua pepe za profiles zao. It is unbelievable what people do.
 
si kweli,she can keep both of them.............mbona ndoa za mitala wanaume wanaweza kuwa na wake wawili ? wanawezaje?........huyu mshefa yeye hayuko full time kwa sababu ana mke,mie sioni litakalomshinda huyu dada kuwa nao wote wawili mpaka hapo moyo wake utakapochagua kuwa na mmoja.LOL

Jestina nina hofu kama akili yako iko salama au ni mzaha kama kawaida ya watanzania!
 
Mimi hili nakupinga kabisa. Wapo wanawake wengi tu wanaochiti ambao hawataki kubadili hali zao za kiunyumba. Mimi ni mwanachama wa AFFAIRS GUARANTEED - Cheating Partners Have An Affair Married Dating. Huu ni mtandao wa watu wanaotaka kuwa na affairs kisirisiri.

Nilijiunga baada ya kuusikia sana ukiwa unatangazwa. The curious George in me said ' let me sign up and check it out'. And sure I did. Kila mara huwa napokea profiles za wake za watu ambao wanatafuta affairs. Katika observation yangu nimeona wapo wanawake wengi sana wanaocheat lakini bado wanasema wanawapenda waume zao. Moja ya masharti yao huwaga ni "I don't want to change my situation and neither do I want to change yours."

Pia wengi huwaga wanasema "I don't want to leave my husband but I need someone to fill what I'm missing at home"! Wengine wanacheat kwa ajili ya thrill tu. Sasa mimi nataka kujua hiyo asilimia kubwa yako ya wanaopenda ni ngapi katika mlinganyo wa asilimia 100.

Na hii sijatunga. Ukitaka ninaweza kabisa kukufowadia hizo barua pepe za profiles zao. It is unbelievable what people do.

ama!! ukishangaa ya Musa basi ya Firauni yatakutoa macho....

yaani si mtandao tu bali wa wenye ndoa wanaotaka kuwa na affairs kisirisiri

'LIFE IS SHORT HAVE AN AFFAIR'.....kiruu
 
wanawake ni mashetani ninyi... afu mwaji eksipozi wenyewe.......

Wakati mumewe anamcheat hakuwa shetani eeh! leo mwanamke katoka nje kutafuta faraja amekuwa shetani...lol! Mkuki kwa Nguruwe......
 
Jestina nina hofu kama akili yako iko salama au ni mzaha kama kawaida ya watanzania!

hata kama haiko salama unanipunguzia au kuniongezea nini mie?,akili yangu sio kiini cha topic hii,kaanzishe mada kuhusu akili yangu ukipenda or else stick with current topic!
 
Halafu sasa huu mtandao wa Ashley Madison si Marekani tu. Ni wa dunia nzima. Ukitaka hook up na mtu aliyeko nchi nyingine basi unajiunga na kuchagua geographical location unayotaka kuwa na hiyo affair halafu wao wanafanya kazi ya kuku-match na wanaoendana na profile yako.

Na una wanachama mamilioni na kila siku wanajiunga wanachama wapya. Hapo ndipo ujue when it comes to cheating, both men and women are neck and neck. Hakuna wanaocheat zaidi ya wenzao in my humble opinion.
 
Kuna mails fulani nilikuwa napata kama junk mails. Ni kama face book fulani. Sasa nikawa curious kutaka kujoin. The problem is wanataka uweke picha yako ili uweze kuview za wengine. Nikautilia shaka huo mtandao nikapiga chini na kublock hizo mails. Afu wanakuonyesha picha za watu kiduuchu ili sijuhi uvutiwe kujiunga? Ila aliye ni invite namjua (could be a member) ndio maana nika bother hata kuupeleleza kidogo. Sikumbuki jina la huo mtandao ni wa Bongo lakini. But most of those I saw sidhani kama ni wake za watu maana wanaweka majina na wanapokaa saying that they are looking for friends. Yani kama wanatafuta pen pal fulani. Sasa pen pal wa karibu jamani?? Mh!
How can you gauge the feelings of others? Not just others, but a whole lot of others and dare to speak for them? How can you?
 
hii issue ingekuwa reversed na muhusika mkuu angekuwa ni mwanaume,am sure wengi wangeona ni ujanja.......mnalo hilo what a man can do a woman can do better!

Nakwambia hapa ni mkuki kwa nguruwe...... Mi namshauri bidada wala asichane na mshefa wake kwa raha zake ila tu aendelee kumheshimu mumewe na kamwe asiche kumpa unyumba
 
Mimi hili nakupinga kabisa. Wapo wanawake wengi tu wanaochiti ambao hawataki kubadili hali zao za kiunyumba. Mimi ni mwanachama wa AFFAIRS GUARANTEED - Cheating Partners Have An Affair Married Dating. Huu ni mtandao wa watu wanaotaka kuwa na affairs kisirisiri.

Nilijiunga baada ya kuusikia sana ukiwa unatangazwa. The curious George in me said ' let me sign up and check it out'. And sure I did. Kila mara huwa napokea profiles za wake za watu ambao wanatafuta affairs. Katika observation yangu nimeona wapo wanawake wengi sana wanaocheat lakini bado wanasema wanawapenda waume zao. Moja ya masharti yao huwaga ni "I don't want to change my situation and neither do I want to change yours."

Pia wengi huwaga wanasema "I don't want to leave my husband but I need someone to fill what I'm missing at home"! Wengine wanacheat kwa ajili ya thrill tu. Sasa mimi nataka kujua hiyo asilimia kubwa yako ya wanaopenda ni ngapi katika mlinganyo wa asilimia 100.

Na hii sijatunga. Ukitaka ninaweza kabisa kukufowadia hizo barua pepe za profiles zao. It is unbelievable what people do.

Yeah komredi hili bonge la nondo
Alafu wanawake wengi wana cheat kizembe sana.
 
Back
Top Bottom