Arudisheje hisia kwa mumewe? ...Msaada tafadhali

The Boss kama ungechukua muda kunisoma vizuri ungenielewa nilikuwa na maana gani! Huyu mdada kwa jinsi situation ake ilivyokuwa na jinsi mumewe alivyobadilika sikutegemea kama silaha hii ndio imeleta amani ndani ya ndoa hii!

Besides nimeshangaa kwa kuwa tunatofautiana katika kuhandle matatizo ya namna hii, bahati mbaya katika situation kama hii mimi ningechukua mlengo mwingine kabisa tofauti na mdada huyu
 
Nakumbuka jina kama hilo. Mh na wabongo wamo. Lol. But sidhani kama lazima mtu uwe kwenye ndoa nimeona wengi wana sura za "nipo nipo sana". Kama huko kwa purpose ya ku facilitate cheating basi utavunja ndoa za watu. Mimi niliperuzi nikaona jina la kakangu. Sijuhi anatafuta nini humo?? Sikujua kazi yake lol umenifumbua macho, thanks.
 

Sidhani kama huo ulikuwa ni Ashley Madison. AM ni mtandao wa watu wa ukweli kabisa. Hebu ona hii profile ya huyu mmama kwa ufupi. Ukitaka details nipe email yako nikufowadie uone jinsi wanawake nao wanavyocheat. Hahahahaaa ulimwengu huu bana wee acha tu.[TABLE="width: 275"]
[TR]
[TD="colspan: 5"][TABLE="width: 137"]
[TR]
[TD] [FONT=arial, sans-serif] "maybetoday4" [/FONT] [/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10"][/TD]
[TD][/TD]
[TD] [/TD]
[TD="width: 10"] [/TD]
[TD="width: 157"] [FONT=arial, sans-serif] 40 years old - Atlanta, Georgia
Seeking an exciting affair
Attached Female seeking Males
Fit,
5'2" (157cm)

[/FONT] [FONT=arial, sans-serif] Email Now!


[/FONT]
[/TD]
[TD="width: 5"][/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
 
Yeah komredi hili bonge la nondo
Alafu wanawake wengi wana cheat kizembe sana.

Shukrani komredi. Wanawake hatujawaacha mbali. Sema tu kwa sababu ya mfume dume sisi tunaonekana kana kwamba ndo tuko mstari wa mbele kumbe wapi. For every cheating man there is a woman. So go figure. Full usanii tu.
 
Wakati mumewe anamcheat hakuwa shetani eeh! leo mwanamke katoka nje kutafuta faraja amekuwa shetani...lol! Mkuki kwa Nguruwe......

Huyo mwanamke amelipiza kwa ubaya ni kicheche tu huyo mshefa akimtosa si atatafuta faraja sehemu ingine tena hajatulia.
 
Huyo mwanamke amelipiza kwa ubaya ni kicheche tu huyo mshefa akimtosa si atatafuta faraja sehemu ingine tena hajatulia.

na mume naye aliyelianzisha ni nani, mwewe?
 
Kwa hiyo wale wanaotaka wanaume/wanawake wa kidhungu aah, umerahisisha kazi. Ila wadhungu ni noma. Kuna watu eti waweza kuwalipa (online) ili ku talk sex (sijuhi kama nimepatia wanavyoita wenyewe) kuna mwalimu mmoja alianza hizo story class from nowhere. Eti unakuta mdada yuko jikoni anapika huku simu iko mkononi ela inaingia. Lol. Ndio maana huko ndoa hazidumu maana service everywhere!

 

Nyumba Kubwa, huu mtandao wa AM una watu wa aina zote. Ila ni heterosexuals tu. Kwa hiyo ukitaka ku hook na wazungu unaweza, weusi unaweza, orientals unaweza, latinos unaweza, middle easterners unaweza. Yaani ni preferences zako tu.

Halafu kuna watu bado wanabisha eti internet haijarahisisha hayo mambo ya adultery na infidelity. Natamanigi sana moja ya stesheni za Tanzania zianze kukionyesha kile kipindi cha Cheaters.

I'm sure it will broaden a lot of people's horizons with regards to love and relationships.
 
Watawezaje ku controll members wawe heterosexual. Kwani kuna ID ya ya kuwabaini homosexuals? Mbona naona kama impossible.

 
Basi nimeelewa. Maombi unayotuma yatakujulisha unataka nini. Pamoja!
 
Watawezaje ku controll members wawe heterosexual. Kwani kuna ID ya ya kuwabaini homosexuals? Mbona naona kama impossible.

Ni kwamba huwezi ukabandika profile ambayo unatafuta mwanamke mwenzako au mwanaume mwenzako. Ukiweka hivyo wanaifuta. Sasa hiyo haimaanishi wote wanaoweka profiles zao humo ni heterosexuals. Huenda hata bisexuals wamo, bicurious wamo, au hata homosexuals wamo. Lakini ile ni sehemu ya heterosexuals kukutana na kutafuta affairs.
 

wabongo siwaoni,wapo??????
 
wabongo siwaoni,wapo??????

Kuna wanachama wengi sana aisee. Na kila siku napokea profiles nyingi tofauti tofauti. Kwa hiyo huenda nao wapo. Huo mtandao una wanachama zaidi ya milioni 10 kama sikosei. Hiyo ni idadi kubwa sana na uwezekano wa wabongo kuwepo upo.

Ila hata mimi ni mbongo ingawa lengo langu la kujiunga lilikuwa tofauti. Nimekutumia tu hiyo upate idea ni jinsi gani watu wanavyo cheat. Kama ukiweza kujiunga na kupata profiles za watu kila siku na kuzisoma hapa na pale ndo utapata taswira nzuri zaidi.

What I forwarded to you is just a snapshot of how and what cheating women/ wives do. They cheat and they cheat a lot but some of them are so deep in denial that they don't see their cheating as cheating.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…