Ndo Ushauri huo aliotoa ODM au hujamuelewa?Babu ndio maana likatumika neno naomba ushauri, kama hujisikii kutoa ushauri kwa kuwa hakuna cha kushauri si ni bora ukakaa pembeni na kuvuta kiko chako?
Kwa nini usituache wenye muda wa kupoteza, tuendelee kuupoteza?
Na unajua nilivyo king'ang'anizi wa kudai?Hapa sasa naamini umeamka hahahahahah the bottom ujumbe hapa ni kuwa aendelee tu kula ila asimshike kipofu mkono!! So asahau mambo ya kuwa mke mwema na blablah zake?! LOL Babu nidai zawadi yako leo
Mbu bahati mbaya sana kaka zetu wengi tukishaolewa huwa wanakuwa kama wametufuta kwenye mioyo yao kama ndugu tunabakia kusubiri kukutana kwenye shughuli za kifamilia au kuzikana, Wachache sana wenye uwezo na moyo wa kuwatetea dada zao wanaonyanyasika kwenye ndoa sijui ndo wanaogopa kuambiwa wanaingilia?? Lakini cha ajabu sie kina dada na vimbelefront vyetu kuwasakama mawifi zetu ooh usitunyanyasie kaka yetu, unamtesa kaka yetu...na saa nyingine hata kama hanyanyaswi tunajifanya Knight Security kwao.
Ahsante bila zawadi nani anaitaka? Njoo kwa Maria Roza kule nikakuPM.Hahaaaaaaaaaaaaaa hapo chacha huduma kwenye mkondo wake ............asante babu.
Na unajua nilivyo king'ang'anizi wa kudai?
Ka swali ka uzushi: What if ukampa ushauri afu asiufanyie kazi?
Kwa mfano ukachukua ushauri wa watu hapa kuwa mwache aendelee kubanjuka na mshefa nawe kwa kiherehere ukaenda kumpa.......... baada ya mwezi akarudisha mapenzi ya dhati kwa mumewe..........afu kwenye umbea wa kitandani akamsimulia mumewe ushauri wako..........Uko tayari kuzaa na mmewe?.....
MORAL: Bibi na Bwana Wakigombana, Shika jembe ukalime, wakipatana shika kapu ukavune.
Allowed...MJ1, for the first time i beg to differ, strongly!!!
the reverse is true.... jiulize kwanini kaka hawana issues sana na shemeji zao
Mbu bahati mbaya sana kaka zetu wengi tukishaolewa huwa wanakuwa kama wametufuta kwenye mioyo yao kama ndugu tunabakia kusubiri kukutana kwenye shughuli za kifamilia au kuzikana, Wachache sana wenye uwezo na moyo wa kuwatetea dada zao wanaonyanyasika kwenye ndoa sijui ndo wanaogopa kuambiwa wanaingilia?? Lakini cha ajabu sie kina dada na vimbelefront vyetu kuwasakama mawifi zetu ooh usitunyanyasie kaka yetu, unamtesa kaka yetu...na saa nyingine hata kama hanyanyaswi tunajifanya Knight Security kwao.
Hakuna mwanaume mgumu duniani
Kama ni mgumu basi asingependa............. remember huyu mwanaume hajui kwamba mkewe anacheat, so if the lady decides to quit cheating, becomes a good woman at home and "massage their relationship at home" anaweza kuopen na kumsaidia mumewe na yeye mwenyewe how best to run their family
HAKUNA MWANAUME MGUMU DUNIANI, THAT IS IT.............. NI PRETENDENCE, TU, NA AKIWA MGUMU KWA WANAWAKE BADI WAWEZA KUTA MLAINI KWA WANAUME IT IS NATURAL;
Hahahahaha hili sredi limenifumbua macho jinsi ulivyo mbea.... Najaribu kuvuta picha wakati anakusimulia lazima ulikuwa umeshika tama huku ukimpiga na tuswali twa uzushi khaa......vijineno kama .... "acha masihara dada"........"kweli?"..........."Siamini".......... "Halafu"....... Havikukosekana wallahAngetaka nilishike jembe nikalime asingekuja kuomba ushauri.
Umejuaje natafuta wa kuzaa naye?
Aisee mwanajamiiOne, naomba umwambie Mbu aache kutubandikia picha za marehemu hapa jamvini kabla sijaripoti kwa mod aifunge hii sredi..........mpango wa kulizana mbele ya mkoloni nani anautaka?
Afu huyo dada mrembo namna hiyo ilikuwaje akaolewa na chizi?
Mkuu Mbu ebu niambie unaaanzaje kuingilia Ndoa ya Dadako? Mi nachojua kama dada yako amekuja kukuomba ushauri utamsaidia, sio kutoka na kwenda kwenye nyumba na kuanza kumpiga mkwala Mumewe? hivi akikujibu mchukue ukamuoe wewe utafanyaje?Nakubaliana nawe.
Iwapo kina kaka wangekuwa wanaingilia matatizo haya, hizi kesi za unyanyasaji zingepungua kwa kiwango kikubwa.
Ukweli ni kwamba wengi hutumia kigezo, "aah, mambo ya kina mama hayo, au kawaambie wazee...!"
<br />Tunachangia hapa ili iweje??<br />
<br />
<br />
ELIMU HAINA MWISHO...<br />
<br />
<font color="#0000cd">Babu DC (1947)</font>
.........Amekusikia ODM nakutaka radhi kwa niaba.Aisee mwanajamiiOne, naomba umwambie Mbu aache kutubandikia picha za marehemu hapa jamvini kabla sijaripoti kwa mod aifunge hii sredi..........mpango wa kulizana mbele ya mkoloni nani anautaka?
Afu huyo dada mrembo namna hiyo ilikuwaje akaolewa na chizi?
Nakubaliana nawe.
Iwapo kina kaka wangekuwa wanaingilia matatizo haya, hizi kesi za unyanyasaji zingepungua kwa kiwango kikubwa.
Ukweli ni kwamba wengi hutumia kigezo, "aah, mambo ya kina mama hayo, au kawaambie wazee...!"
Hahahahaha......... haya maneno mazuri sana kwenye kusaka kaumbea...... ngoja nisepe naona nachakachua sredi isiyochakachuka..........ngoja nimjaribu klorokwini aje ajaribu bahati yake.Allowed...
Ndo unijuze mwaya MTM am always a learning child you know me!
Mdogo wangu kipindi flani alinipigia simu kuwa mmewe kamcharaza makonde.... akafika mbali kuisema familia yetu vibaya........ Nilikamata Dar Express kesho yake nikatua Arusha wanakoishi. Shughuli iliyotokea, mpaka leo haipiti wiki lazima anipigie simu na kuniamkia "shkamoo shemeji". Kama ni member wa JF akaisoma hii thread basi tena ndo kashaijua ID yangu...........Nadhani nitakuwa nimekujibu indirect........ Nasubiria swali la pili.
there you go,...lengo, nia na madhumuni ilikuwa kuamsha hisia hizo...."dada mrembo kaolewa na chizi!"...
utakubali dadako ale mkong'oto na kunyanyasika kiasi cha kupoteza maisha kwa kisingizio cha ndoa?
Hebu nijibu hilo kwanza kabla sijakuuliza iwapo utamsamehe huyu 'dada' wa MwanajamiiOne huko
alikokwenda tafuta faraja.
Mkuu Mbu ebu niambieunaaanzaje kuingilia Ndoa ya Dadako? Mi nachojua kama dada yako amekuja kukuomba ushauri utamsaidia, sio kutoka na kwenda kwenye nyumba na kuanza kumpiga mkwala Mumewe? hivi akikujibu mchukue ukamuoe wewe utafanyaje?
Basi take it from me.............. haitatoka moyoni na kuna siku yataibuka tenakuna mahali MJ1 kasema huyu mume amejua...MJ1 saidia hapa.
kuna mahali MJ1 kasema huyu mume amejua...MJ1 saidia hapa.