bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
Tunajipendelea kivipi wakati mimi nimezungumzia nafsi yangu?
Mimi kama nilianza na yeye akajua na akanisamehe akanipa second chance, then in the interest of fairness I owe her forgiveness also. But forgiveness comes upon genuine contrition but it's not obligaotory.
Sasa sielewi kwa nini unasema tunajipendelea. Ni kwamba huyo mume aliyecheat anaona yeye alivyocheat ilikuwa sawa ama?
kujipendelea ninakoona hapa ni kuwa mkianza nyie (kwa sababu yoyote ile) angalau mnaweza 'kufikiria' kumsamehe mwanamke aliyetoka nje ya mahusiano (kwa sababu yoyote ile). lakini si aanze mwanamke, hapo hakuna msamaha.