Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,627
unawapiga spana kote kote, chandimu uchaguzi hamshindi labda njaaa!CCM yatuma Mashehe Ubwabwa kutisha wananchi Mara
Jikite kwenye Hojaunawapiga spana kote kote, chandimu uchaguzi hamshindi labda njaaa!
Ha ha ha ha ha haaaaaaaaHaya sawa.
Uliniona ninammiminia risasi?
Yaaani hili genge la wahuni nalichukiaaaCCM yatuma Mashehe Ubwabwa kutisha wananchi Mara
Kwa kelele zilizopo sasa inaelekea hawafanyi kampeni tena bali wanapanga kuiba uchaguzi!Ni Rais anafanya mkutano au mgombea Urais? Disgusting!!
Uliniona ninang'oa hizo camera?Si mlingβoa camera!
Alipigwa?Atapigwa mawe tu.
Alipigwa?
Uliniona ninang'oa hizo camera?
Mama Maria Nyerere aliita kuongeza vichwa. Kila kitu ni kuigiza tu. Kiongozi wa kuigiza, Tume ya kuigiza, kuapisha mawakala nako ni kuigiza, uchaguzi nao wa kuigiza. Kutangaza mshindi nako ni kuigiza tu! Tabu kweli kweli.
Mpaka barua.. inaonyesha ni lazima. Kwann wasiache watu waende kwa hiari yao?Hiyo sio ya kukosa.
JPM ndani ya Chuga,
Usisimuliwe nenda mwenyewe ukajionee historia ikiandikwa.
ππHii kauli ya "bila kukosa" huwa inatumika hata kwenye matangazo ya matamasha ya muziki na haijawahi kuwa na tafsiri ya lazima kwenda,sasa sijajua kwenye hili tangazo hiyo kauli ina uzito kiasi gani kwa maana kama ikitokea mtu hakwenda?
Hakuna wasaniiHalafu leo eti mtu anamfananisha Lissu na Magufuli kweli jamani
Kwa Lissu halazimishwi mtu unakwenda kwa hiari yako mwenyewe
Kwa Lissu hakuna show la Fiesta kusema labda watu wamefuata show ya JEJE live ya DIAMOND au MEDIOCRE ya KIBA wala hakuna show ya KONDE GANG wala NANDY ... !!!
Ni mapenzi ya kweli kutoka moyoni ... !!!
#NI YEYE 2020
Halafu watakuja masalia ya walinda legacy wanasema jiwe alikuwa anakubalika sasa hiyo lazima inatoka wapi.Wafanyakazi wa Chuo cha Misitu cha Olmotonyi cha wilayani Arumeru mkoani Arusha wametakiwa kufika bila kukosa ili kusikiliza sera za mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi.
Taarifa ya Mkuu wa Chuo imeeleza kuwa leo tarehe 22 Oktoba usafiri utakuwepo kuanzia 1:00 asubuhi kuwafikisha watumishi katika viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Wilaya, maeneo ya Usa River.
View attachment 1607780