njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Hapo hata wachunguzi wakienda wataambulia manundu tu mana jiwe zinarushwa kweli kweli kama zinatoka kwenye kombeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vifaru drone sijui fighter jets zote tunaangusha!Tuipeleke hii teknolojia ukraine
😀😀😀Hapa suluhisho ni katiba mpya tu
bunduki tupu au bunduki na risasi? jiwe ili likupate vizuri linahitaji uwe karibu... acha kufananisha manati ya mzungu na wameru wako, wataondoka kama wenzao wa songea na maji yao.Wameru ni wataalam wa kurusha mawe balaa, unaeza ukawa na bunduki ya AK47 na wao Wana mawe na ukakwama
Mkuu mawe kutokea kusikojulikana hayo sio maendeleo?😂😂😂Huu ndio upumbavu pekee mtanzania anaweza kufanya kuliko kuleta maendeleo
Waandishi wa Habari mkoani Arusha wametimuliwa kwa kupigwa na mawe ambayo hayajulikani yanapotokea katika Kijiji cha Kiwawa Wilayani Arumeru, ikiwa ni baada ya waandishi hao kufika kwenye eneo hilo kufuatilia taharuki ya wananchi kupigwa kwa mawe yanayohisiwa kurushwa na mizimu. https://t.co/NrIFpDXwV0View attachment 2234707
Ni zaidi ya upumbavu,Huu ndio upumbavu pekee mtanzania anaweza kufanya kuliko kuleta maendeleo
Hahaaa, na waandishi Goliatihao itakuwa wana vinasaba vya Daudi.
hahahahabunduki tupu au bunduki na risasi? jiwe ili likupate vizuri linahitaji uwe karibu... acha kufananisha manati ya mzungu na wameru wako, wataondoka kama wenzao wa songea na maji yao.
Nimeona hii habari daily news,nimecheka sana,unapigwa jiwe ila halijulikani linatoka wapiWaandishi wa Habari mkoani Arusha wametimuliwa kwa kupigwa na mawe ambayo hayajulikani yanapotokea katika Kijiji cha Kiwawa Wilayani Arumeru, ikiwa ni baada ya waandishi hao kufika kwenye eneo hilo kufuatilia taharuki ya wananchi kupigwa kwa mawe yanayohisiwa kurushwa na mizimu. https://t.co/NrIFpDXwV0View attachment 2234707
Nimeona clip ya mwandishi wa daily news anarepoti toka Kijiji hicho aruneru huko.....inachekesha ila watu wanatembea wamejifunika ndooIs it for real ama kuna mtu kajificha somewhere na kombeo anayavurumisha?😂😂
Kweli jiwe haipendi kaskazini mpaka huko alikoItakuwa ni mizimu ya JIWE
Dah yaani tayari mmeshahusianisha na legend !Kweli jiwe haipendi kaskazini mpaka huko aliko