Arusha: Afariki baada ya kuingia kwenye kisima chenye mita 60 kumtoa mbuzi

Arusha: Afariki baada ya kuingia kwenye kisima chenye mita 60 kumtoa mbuzi

Pamoja na kwamba si ingilii mada
Hicho kisima kilichochimbwa kwa mikono hakiwezi kuwa na mita 60, kwani huo urefu huchimbwa kwa mashine ambapo ni kashimo kadogo sana (Inch 4 hadi Inch 6 hivi). Labda alimaanisha futi 60 (mita 18) ambapo bado naona ni nyingi kwa kisima kilicho chimbwa kwa mikono.
 
Back
Top Bottom