Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
are you okei?N mpaka utheme dadeki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
are you okei?N mpaka utheme dadeki
Inasikitisha sana.Hata wa 40 yupo mkuu
Huyu ndo mwanamke sasaWanawake tukumbuke kuwaombea waume zetu wanapotoka,na pia tujifunze kuwashukuru kwa wanacholeta.
Pole kwa familia na ndugu.
Kwahio walimfunga kamba na kumtosa kisimani huyo mzee for Goats sake 😁?"Nikawaambia wavute kamba ikarudi wenyewe"
Hivi kicheko cha huzuni ndio kikoje?
Hahahahah wanasema kisima kina majini🤣 ndo maana jamaa kafeli kutoka kaliwa na jini😂Umaskini mbaya nyie, hapo alipiga hesabu ya 40k yake akifanikisha imsaidie matumizi😪
Huyo mwenye mbuzi pia amekosea kwa huo umbali angempotezea tu huyo mbuzi, asingeruhusu watu waingie kumtoa,ila basi ajali kazini🤔
100 metresUwanja wa mpira una urefu gani
Elimu Elimu Elimu muhimu yani nikiwaza metre moja ni kama futi tatu na cm 10 halafu mtu aniambie nidumbukie kwenye shimo la mita 60 kisa sh. Elfu 40 nachoka mimi
Zaidi ya nusu ya kiwanja cha mpira. Sio lelemama jombaa.Hii nchi ni umasikini au ni kukosa akili nyani tumbili
Kweli jeshi la uokozi wanashindwa kumtoa mtu kwenye shimo la mita 60!!!!
Mtumbukizeni ndani ya kisima askari wa uokoaji ili akaandae kwanza mikakati ya kumuokoa mbuzi.Mtu mmoja anayefahamika kwa jina Mbaruku mussa anayekadiriwa kuwa na miaka 47 makazi wa mtaa wa olmoti kata ya olimoti mkoani Arusha anahofiwa kufariki baada ya kudaiwa kupewa Dau la fedha shilingi elfu arobaini (40) kuingia katika kisima cha maji chenye mita zaidi ya 60 kwenda kumtoa mbuzi aliyedumbukia humo.
Viongozi pamoja na wananchi wanadia kuwa wameweka kambi kwa siku ya tatu hadi hii leo wakiwa na askari wa jeshi la zimamoto na uokoaji kwa ajili ya kuokoa lakini hadi hii leo imeshindikana
“Walikuja vijana watano ambao walizama kwenye shimo kwa shilingi elfu arobaini lakini baadaye ilitokea kishindo katika kisima yule bwana kuchungulia tukakuta ameshadumbukia kwenye kisima nikawaambia wavute kamba ikarudi yenyewe,walikubaliana watamtoa huyo mbuzi kwa elfu 40 ndio wakazama kwenye kisima,baada ya tukio wengine wakakimbia”Chacha Joseph -Shuhuda
Kwa upande wa jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoa wa Arusha wamefika eneo la tukio na kuendelea na jitihada za uokozi lakini hadi Ayo Tv inaondoka eneo la tukio hawakuweza kufanikiwa
View attachment 3203798
Kilichimbwa kwa kijiko au watu walitumbukia ktk kuchimba na kukijenga kingo zake?Mita 60 ni urefu mkubwa. Ni karibu robo tatu ya uwanja wa mpira.
DuuuuuMtu mmoja anayefahamika kwa jina Mbaruku mussa anayekadiriwa kuwa na miaka 47 makazi wa mtaa wa olmoti kata ya olimoti mkoani Arusha anahofiwa kufariki baada ya kudaiwa kupewa Dau la fedha shilingi elfu arobaini (40) kuingia katika kisima cha maji chenye mita zaidi ya 60 kwenda kumtoa mbuzi aliyedumbukia humo.
Viongozi pamoja na wananchi wanadia kuwa wameweka kambi kwa siku ya tatu hadi hii leo wakiwa na askari wa jeshi la zimamoto na uokoaji kwa ajili ya kuokoa lakini hadi hii leo imeshindikana
“Walikuja vijana watano ambao walizama kwenye shimo kwa shilingi elfu arobaini lakini baadaye ilitokea kishindo katika kisima yule bwana kuchungulia tukakuta ameshadumbukia kwenye kisima nikawaambia wavute kamba ikarudi yenyewe,walikubaliana watamtoa huyo mbuzi kwa elfu 40 ndio wakazama kwenye kisima,baada ya tukio wengine wakakimbia”Chacha Joseph -Shuhuda
Kwa upande wa jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoa wa Arusha wamefika eneo la tukio na kuendelea na jitihada za uokozi lakini hadi Ayo Tv inaondoka eneo la tukio hawakuweza kufanikiwa
View attachment 3203798
Mkuu“Walikuja vijana watano ambao walizama kwenye shimo kwa shilingi elfu arobaini lakini baadaye ilitokea kishindo katika kisima yule bwana kuchungulia tukakuta ameshadumbukia kwenye kisima "SIJAELEWA HAPA"
Mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.Wanawake tukumbuke kuwaombea waume zetu wanapotoka,na pia tujifunze kuwashukuru kwa wanacholeta.
Pole kwa familia na ndugu.
huyo mwanamke ndiye takataka.Mwanaume ukiwa huna hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.