Arusha: Afariki dunia akidaiwa kuchapwa viboko 280

Arusha: Afariki dunia akidaiwa kuchapwa viboko 280

Imeebdikwa heshimu baba na mama yako update miaka mingi ya kuishi, Sasa yeye kamtukana mama yake tena matusi ya nguoni unategemea atoboe.
 
Kuna watu bado wanaishi kama nyani msituni katika karne ya 21!
 
Mojawapo ya culture yako ilikuwa ni kukeketwa.
I'm not in the mood..

Asante Kwa ku reply post yangu.

Kumbatia culture yako, wacha wengine nao wajivunie na ya kwao.. Ndio raha hiyo ya uhuru wenyewe.

Mbaya tu ni kutaka kuishi Kwa kukumbatia culture za wengine kutaka kuzileta kwenye maisha yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo yakuchapana kama mifugo ni ujinga.Unakua na mila ya kijinga kama hiyo alafu bado unakua na jamii yakijinga sasa inasaidia nini.
 
Mpaka mtoto anafika kukutukana mzazi, Mzazi unapaswa kujiasses inaonekana kuna shida kwenye malezi.
 
Imeebdikwa heshimu baba na mama yako update miaka mingi ya kuishi, Sasa yeye kamtukana mama yake tena matusi ya nguoni unategemea atoboe.
Kufa hakuhusiani na kumtukana mzazi.ata wewe utakufa na haijulikani ni kifo gani na sio lazima umtukane mzazi.Tatizo hapo sio kufa kwasababu kifo nikwakila kiumbe hai.Tatizo ni hiyo mila jinsi inavyotumika vibaya.
 
Lakini adhabu ilikuwa kubwa sana na kweli alistaili kuchapwa ila wamezidisha hadi nimempoteza mwanangu," amesema.
😂😂😂ulijua chips yai anapewa! Uchungu wa mtoto unao wewe mzazi uliowapa walikuwa sahihi kuua maana wewe mwenyewe ulimchoka mpaka ukamgawa
 
Kufa hakuhusiani na kumtukana mzazi.ata wewe utakufa na haijulikani ni kifo gani na sio lazima umtukane mzazi.Tatizo hapo sio kufa kwasababu kifo nikwakila kiumbe hai.Tatizo ni hiyo mila jinsi inavyotumika vibaya.
Mbaya mno
 
Kufa hakuhusiani na kumtukana mzazi.ata wewe utakufa na haijulikani ni kifo gani na sio lazima umtukane mzazi.Tatizo hapo sio kufa kwasababu kifo nikwakila kiumbe hai.Tatizo ni hiyo mila jinsi inavyotumika vibaya.
Kifo chake kinahusiana na kumtukana mzazi, kipi huelewi hapo..
 
I'm not in the mood..

Asante Kwa ku reply post yangu.

Kumbatia culture yako, wacha wengine nao wajivunie na ya kwao.. Ndio raha hiyo ya uhuru wenyewe.

Mbaya tu ni kutaka kuishi Kwa kukumbatia culture za wengine kutaka kuzileta kwenye maisha yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwezi kataa mila zetu,tumepewa utashi ndio mana tuko tofauti na wanyama..

Yatupasa kuchukua mila zinazofaa na zisizofaa zenye madhara ni kuachana nazo.

Je uko radhi kuchapwa viboko 70?

Niliukana usukuma kwa huu upuuzi?
Niliahidi nikichapwa nitawinda mmoja mmoja pasipo kujali.

Inakera mno.
Maisha yangu jukumu langu.
 
Hatuwezi kataa mila zetu,tumepewa utashi ndio mana tuko tofauti na wanyama..

Yatupasa kuchukua mila zinazofaa na zisizofaa zenye madhara ni kuachana nazo.

Je uko radhi kuchapwa viboko 70?

Niliukana usukuma kwa huu upuuzi?
Niliahidi nikichapwa nitawinda mmoja mmoja pasipo kujali.

Inakera mno.
Maisha yangu jukumu langu.
Ndiyo utukane mzazi? Utafunzwa na ulimwengu.
 
Back
Top Bottom