Arusha: Afariki kwa kupondwa korodani na uume

Arusha: Afariki kwa kupondwa korodani na uume

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.

Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.

Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV

View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls
 
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.

Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.

Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV

View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls

Elfu 15 tu?
Mh Paul Makonda aingilie kati....hali ya usalama mkoani humo inazidi kuwa tete siki hadi siku
 
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.

Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.

Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV

View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls

Watu ni
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.

Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.

Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV

View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls

Watu ni wakatili mnoo
 
Back
Top Bottom