Arusha: Afariki kwa kupondwa korodani na uume

Arusha: Afariki kwa kupondwa korodani na uume

Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.

Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.

Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV

View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls

Vipi hapo machadema, hakuna maandamano kweli?
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.

Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.

Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV

View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls

Vipi hapo machadema, hakuna haja ya maandamano? Maana korodani hamna tena!!
 
Hii habari nna uhakika haijakamilika kuna vitu kabisa havipo sawa hebu tuwazie miaka 36? Si ni mwanaume kamili anaweza kujipambania huyo ina maana kakamatwa na jamaa kavuliwa nguo ,kalawitiwa anaangalia tu anamaliza hapo wanachukua nyeti wanazigonga na mawe yupo tu ? Daah
 
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.

Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.

Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV

View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls

Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.🥺🥺🥺🥺😭
 
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.

Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.

Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV

View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls

Nacho jua kaskazini mwa Tanzania ndiko waliko watu wenye roho mbaya

USSR
 
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.

Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.

Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV

View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls

Sakasaka Mao ni kipi kwenye taarifa hii kimekufurahisha kiasi hicho?
 
Back
Top Bottom