Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Arumeru ni Wachaga? Yaani hata hii Jografia ndogo tu Watanzania hatuijui? Kazi kweli kweli!Wachaga tena!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arumeru ni Wachaga? Yaani hata hii Jografia ndogo tu Watanzania hatuijui? Kazi kweli kweli!Wachaga tena!
Inauma15000 ukamnajisi mwenzio serious?
Heri umpige umuue! Kuliko kuongeza na fedheha ya namna hio
Marehemu alinajisiwa akaingizwa na vijitu kweli?
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.
Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.
Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV
View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.
Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.
Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV
View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.
Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.
Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV
View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls
Hapo hakuna cha uchaga Wala nini, hizi tabia zipo popote hapa tanzaniaWachaga tena!
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.
Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.
Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV
View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.
Inaelezwa kuwa mbali na Israel kufanyiwa vitendo hivyo, alilawitiwa na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa kwa mujibu wa maelezo yake kabla ya kufariki dunia.
Kwa taarifa zaidi ingia Youtube itafute GAD TV
View: https://youtu.be/e9lQW06iGgY?si=y43yjUT0Mdfp3Wls
Yuko kwenye festival may be huo utakua uzushi tuElfu 15 tu?
Mh Paul Makonda aingilie kati....hali ya usalama mkoani humo inazidi kuwa tete siki hadi siku
Ni wewe au ID yako inatumika na mwingine? Unamwita huyu mhuni Makonda ''mh''? Unamwambia aingilie kati wakati yeye ndiye mwanzilishi wa adhabu ya kulawiti kipindi cha Magufuli?Elfu 15 tu?
Mh Paul Makonda aingilie kati....hali ya usalama mkoani humo inazidi kuwa tete siki hadi siku
Sio wachaga. Wameru hao waoza meno washamba.Wachaga tena!
Hapana, sijafurahishwa na chochote.Sakasaka Mao ni kipi kwenye taarifa hii kimekufurahisha kiasi hicho?
Acha kukarirri maisha dadangu.,,😁Wachaga tena!