Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pro mwendazake MNA shida sana wacha iwakostiHuyu jamaa atakuwa hayupo normal upstairs apelekwe hospitali
Achana na hiyo roho ya kichawi kumbuka anawatoto wanamtegemeahuyu alipaswa afukuzwe tu sasa mnachunguza kitu gani tena, yeye na wenzake walio shirikiana kufanya upuuzi huu.watimuliwe mara moja.
Wakati mama anachanjwa live alikuwa na lengo gani?Alikuwa na sababu gani za kujirekodi?
Kwani angechanjwa kimya kimya bila kujirekodi angepungukiwa nini!
Au alitaka amfurahishe mama ili ampandishe cheo?
Hoja yake ni yamsingi, kwamba hakufanya maigizo, alichanja kweli.
Mkuu.Alikuwa na sababu gani za kujirekodi?
Kwani angechanjwa kimya kimya bila kujirekodi angepungukiwa nini!
Au alitaka amfurahishe mama ili ampandishe cheo?
alipo kuwa anachezea kazi yake alikuwa hajui kama ana watoto, kumbuka kitendo alicho kifanya sio cha bahati mbaya bali alidhamiria kabisa kuleta au kufanya mzaha kwenye vita hii ya kupambana na janga la korona, kwenye nchi zingine sio tu anafukuzwa bali anachapwa risasi hadharani maana kafanya mzaha wakati Taifa na Dunia ipo ktk vita vya kupambana na korona.Achana na hiyo roho ya kichawi kumbuka anawatoto wanamtegemea
Mbona wanajirekodi watu wengi tu wanapopata chanjoAlikuwa na sababu gani za kujirekodi?
Kwani angechanjwa kimya kimya bila kujirekodi angepungukiwa nini!
Au alitaka amfurahishe mama ili ampandishe cheo?
Kwani Kuna Sheria inazuia alichokifanya?Alikuwa na sababu gani za kujirekodi?
Kwani angechanjwa kimya kimya bila kujirekodi angepungukiwa nini!
Au alitaka amfurahishe mama ili ampandishe cheo?
Kurekodi/kupigwa picha imekuwa normal kwa watu huku wengine wakubwa tu inakuwa siri wakilazwa hadi kifo ndio utajua kumbe alikuwa anaumwa.Alikuwa na sababu gani za kujirekodi?
Kwani angechanjwa kimya kimya bila kujirekodi angepungukiwa nini!
Au alitaka amfurahishe mama ili ampandishe cheo?
Hili swali hata mimi nimeuliza. Mambo mengine mtu anajitakia mwenyewe kwa kutotumia busara. Hizi simu zinafanya watu wadhani kila kitu ni lazima upige piche au urekodi clip.Alikuwa na sababu gani za kujirekodi?
Kwani angechanjwa kimya kimya bila kujirekodi angepungukiwa nini!
Au alitaka amfurahishe mama ili ampandishe cheo?