macho_mdiliko Platinum Member Joined Mar 10, 2008 Posts 25,191 Reaction score 48,765 Aug 7, 2021 #41 MasterP. said: Mbona wanajirekodi watu wengi tu wanapopata chanjo Click to expand... Kujirekodi kwa ''watu wengi tu'' hakumaanishi ni jambo zuri. Au tuseme unataka kuweka kumbukumbu zako. Kuna umuhimu gani wa ku-post kwenye mitandao? Sisemi kuwa ni kosa bali nataka kusema mambo mengine unaweza kutafuta matatizo yasiyo na umuhimu.
MasterP. said: Mbona wanajirekodi watu wengi tu wanapopata chanjo Click to expand... Kujirekodi kwa ''watu wengi tu'' hakumaanishi ni jambo zuri. Au tuseme unataka kuweka kumbukumbu zako. Kuna umuhimu gani wa ku-post kwenye mitandao? Sisemi kuwa ni kosa bali nataka kusema mambo mengine unaweza kutafuta matatizo yasiyo na umuhimu.