Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Jamani wanaJukwaa. Huku kuingilia mapenzi ya watu na kujifanya mwema wakati mwingine tuangalie na kuwa makini
==============
Mwananchi mmoja aliyefahamika kwa jina la Akwii ambaye ni mlinzi na mkazi wa Kimandolu mkoani Arusha ameuwawa kwa kupigwa na kitu kizito kilichodhaniwa kuwa nondo mara baada ya kuingilia ugomvi wa mtu na mpenzi wake akitaka kusuluhisha.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wameeleza kwamba Akwii alikwenda kusuluhisha ugomvi uliokuwa wa mda mrefu kati ya wapenzi hao kitendo ambacho kijana mwenye mchumba hakufurahishwa na kitendo hicho na baadae kurudi na kuamua kumpiga na nondo na hatimae kupelekea umauti wake.
Soma Pia:
Wakazi wa kimandolu wameeleza kuguswa na kifo cha mlinzi huyo na tayari tukio hilo limesharipotiwa kituo cha polisi kwa ajili ya uchunguzi Zaidi.
==============
Mwananchi mmoja aliyefahamika kwa jina la Akwii ambaye ni mlinzi na mkazi wa Kimandolu mkoani Arusha ameuwawa kwa kupigwa na kitu kizito kilichodhaniwa kuwa nondo mara baada ya kuingilia ugomvi wa mtu na mpenzi wake akitaka kusuluhisha.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wameeleza kwamba Akwii alikwenda kusuluhisha ugomvi uliokuwa wa mda mrefu kati ya wapenzi hao kitendo ambacho kijana mwenye mchumba hakufurahishwa na kitendo hicho na baadae kurudi na kuamua kumpiga na nondo na hatimae kupelekea umauti wake.
Soma Pia:
- Chato Geita: Auawa na mumewe kwa kupigwa na kitu kizito kichwani
- Mwanaume auliwa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwa mpenzi wake, yadaiwa alikuwa akitembea na mke wa mtu
Wakazi wa kimandolu wameeleza kuguswa na kifo cha mlinzi huyo na tayari tukio hilo limesharipotiwa kituo cha polisi kwa ajili ya uchunguzi Zaidi.