Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulijikuta msamaria mwema. Kingekulamba ukome.Mimi nilikoswaga na kisu tangu siku hiyo nikasema acha tu wauwane.
Alikuwa mwanangu na pisi yake, sitosahau kisu kilinipitia shwaaa kikanikwangua mkononi kidogo, nilishtuka hadi nguvu zikaniishia.Ulijikuta msamaria mwema. Kingekulamba ukome.
Pole baba paroko.Alikuwa mwanangu na pisi yake, sitosahau kisu kilinipitia shwaaa kikanikwangua mkononi kidogo, nilishtuka hadi nguvu zikaniishia.
Asante mama paroko yani ilibaki kidogo ungenikosaPole baba paroko.
Weee!! ningekua mgeni wa nani mimiAsante mama paroko yani ilibaki kidogo ungenikosa
Wa wenyeji 😅Weee!! ningekua mgeni wa nani mimi
Vp kama police wataingilia na mtuhumiwa kufungwa. Je family yake itaendelea na huo utalatibu WA kulipa ng'ombeSiyo Akwii bali ni Akui. Kumaanisha mjomba kwa lugha ya Kimasai. Hivyo, hapo jina la mhusika halipo.
Kesi hii mhusika akaombe kumaliza kimila.
Utaratibu ni kuwa, mhusika atazikwa na kikao kukaa. Kisha muuaji ataitwa pamoja na ukoo wake.
Ili kumaliza utata, atapaswa kulipa ng'ombe 49.
Na hizo ng'ombe haziletwi mchana wala asubuhi, bali ni usiku wakati pengine sehemu kubwa ya watu wamelala.
Na ng'ombe hizo hazilipwi mpak pale ambao aliyefariki ataaminika ameshaoza na wadudu washafaidi chai. Pengine ambacho kimebakia ni mifupa tu.
Njia hii hutumika kama kusafisha muuaji na kizazi chake. Isipofanyika hivyo, familia ya muuaji itaendelea kuteketea mpaka kizazi cha nne. Ila ikifanyika basi laana ya kuondoa uhai wa mtu unaishilia kwa muuaji pekee.
Ni dhambi Moja kuu katika kabila la Wamasai.
Alamsiki.