Arusha: Auwawa kwa kupigwa na kitu kizito baada ya kuingilia ugomvi wa mtu na mpenzi wake

Siku hizi hata nikikorofishana na mtu huwa naondoka naenda zangu mbalii, mambo ya kuingilia ugomvi ndio sijawahi mtu mwenyewe muoga. Watu wengi ni wagonjwa wa akili kuuliwa siku hizi ni kama kunywa maji.
 
Tatizo Arusha wahuni Ni wengi,watu wengi Arusha wanaona prestige kuwa muhuni.
 
Vp kama police wataingilia na mtuhumiwa kufungwa. Je family yake itaendelea na huo utalatibu WA kulipa ng'ombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…