Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ya hewa murua kabisa lkn kwa mgeni hasa aliyetokea Dar utalia.Haiumi eti eeh
Ukifika Arusha..nitafute mimi then utajua niko Dom au Chuga..Kumbe ni dreamer...? Najiwia Sorry kwa kupoteza bando yangu
Asante mkuu[emoji4]njoo hapa UZUNGUNI CITY PARK LOCAL FOOD.fika hapo then nii nbox..nipo hapa nasubiri samaki wa kuoka.chakula cha hapa ni safi chuga nzima...
huku apetizer nikitumia BLACK & WHITE..
karibu sana all things on my treat
USIJALI.
Nimependa para ya mwisho tu, ila ndio bahati mbaya sana sipo Ar🥲🥲Kwa wale wakazi wapya wa Arusha ambao hamjazoea hili baridi kama mimi mnaendeleaje?
It is too cold here jamani mpaka I miss Dar.
Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
Hata warembo pia .Hili tangazo limekaa kijanja sana. Haya mabaharia wa Chugga, kazi kwenu!
Acha mkuu..Nishaanza kupachukia[emoji17]Pambana na hali yako acha uoga[emoji38]
Mkuu mara ya mwisho ulienda lini Via via?Tembelea via via
Kweli...Mimi sitaki hata mambo mengiJaman kwan nimekukosea....
Mpeni mwenzenu kampan... story story...cappuccino... kahawa kahawa... usiku unafika kila mtu anashika njia yake...
Ungenipa mwaliko maalum aah ningeungana nawe lkn huu wa general hahaha hapanaaaAcha mkuu..Nishaanza kupachukia[emoji17]
Uzunguni park ziko 2 mkuunjoo hapa UZUNGUNI CITY PARK LOCAL FOOD.fika hapo then nii nbox..nipo hapa nasubiri samaki wa kuoka.chakula cha hapa ni safi chuga nzima...
huku apetizer nikitumia BLACK & WHITE..
karibu sana all things on my treat
USIJALI.
Utapapenda tu jipe muda, Ar kuzuri sana labda uwe unajifungiaAcha mkuu..Nishaanza kupachukia[emoji17]
Preta,LiverpoolFc,SweetLad,Black Woman,Loner,PakaJimmy,Filipo.....kwa kuanzia tafuta hao watu watakupa kampani nzuri.Kwa wale wakazi wapya wa Arusha ambao hamjazoea hili baridi kama mimi mnaendeleaje?
It is too cold here jamani mpaka I miss Dar.
Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
Kumbe una yakoUngenipa mwaliko maalum aah ningeungana nawe lkn huu wa general hahaha hapanaaa
Sijifungi .Asubuhi naenda job kama kawaida.Utapapenda tu jipe muda, Ar kuzuri sana labda uwe unajifungia
Mimi nataka wengi...Hata tukionana in groups sawa tu..Ungenipa mwaliko maalum aah ningeungana nawe lkn huu wa general hahaha hapanaaa
Muda kidogo ila now wamerudi na management mpya hata leo jioni naona wamepost event kwenye facebook page yao...Mkuu mara ya mwisho ulienda lini Via via?
Pia huyu baridi la pale mto Themi angeliweza?