komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Hujajibu swali langu hata moja. Tuwaache chadema waokoteze wagombea, kama inavyodai,, hayatuhusu. Jibu swali. Uliona ngumi na lawama za teuzi kwenye vyombo vya habari au uliziba masikio.Mgonjwa ni wewe unayetakiwa kupona,chadema imeokoteza watu hakuna kura za maoni sasa pana kundi la watu au viongozi!
Cha kina drama sana hiki hakina mambo ya maana zaidi ya upuuzi na utoto!
Haswa! Na hata kama hawaamini ni wezi wanaamini eti wamepata kwa uganga.Masikini wengi wanaamini Matajiri ni wezi
Na bado waliopiga kura za maoni hawakuwa na kadi. Waliokotwa Ili wakapate mpunga toka kwa wagombea 5000 kila mtu.Hujajibu swali langu hata moja. Tuwaache chadema waokoteze wagombea, kama inavyodai,, hayatuhusu. Jibu swali. Uliona ngumi na lawama za teuzi kwenye vyombo vya habari au uliziba masikio.
Wamefurushwa kama mbwa koko! Una la kusema zaidi?Unapoona Polisi au Maafisa wa Takukuru wako Mahali fulani Basi ujue Wako pale Kwa mujibu wa sheria na si kujipendekeza
Kiongozi wa Chama Cha siasa hata ingekuwa CCM hawana Mamlaka ya kuzuia Watendaji wa Serikali kutimiza majukumu yao
Vyama vya siasa vinaendeshwa kwa Kodi za wananchi hivyo Takukuru ni Lazima wawafuatilie Kwa karibu
Jumaa Karim 😄
Magufuli alikuwa shetani mkuu wa Taifa!Ni maneno ya kutoa kichwani kwako tu na kujiaminisha.
Hata alipofariki wale waliokuwa wanajipanga barabarani na kumlilia aliwapangq si ndio.
Magufuli alikuwa baraka ya muda mfupi Tanzania. The good don’t last.
Ila maiti kupiga kura sawa! Tofauti yako na 🐷 ni nini?Lema angefaa awe huko DRC akipigana kwasababu anapenda sana shari. Busara hana
Hii ni kwa under 5, wazee tunalala na mkojo mwiliniKakojoe ulale!
Lema na sifa za Kijinga.Hili bado ni toto na bado jingajinga. Sijaona jambo la maana hapo kuwafukuza TAKUKURU.Unapigiwa makofi ya mhemko lakini ulilolifanya liliatakiwa lifanywe na mtu ambaye yupo njiani kupelekwa Mirembe Hospital.Nabii wa Mungu, Godbless Lema, leo amekitendea haki Cheo Chake cha Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, baada kuwatimulia mbali Maofisa wa TAKUKURU waliohudhuria semina ya Wagombea wa Uenyekiti wa Serikali za Mitaa.
Nabii Lema ambaye Unabii wake juu ya Mambo kadhaa ya Tanzania Umetimia na kupitiliza, amewaambia Maofisa hao wa TAKUKURU kwamba Wameacha uozo kwenye Uandikishaji uliofanywa na viongozi wa serikali halafu wanakimbilia kuleta pua zao kwenye Semina zisizo na Makando kando za Chadema.
View attachment 3146379View attachment 3146382View attachment 3146387
Binafsi Naunga Mkono Jambo hili
=====
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amewafukuza maofisa watatu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwenye semina ya wagombea wa wenyeviti wa mitaa wa chama hicho.
Lema aliyekuwa mgeni rasmi leo Novemba 7, 2024 katika mkutano huo jijini Arusha, baada ya kuingia ukumbini na kupata utambulisho kuhusu uwepo wa maofisa wa Takukuru waliokuwa meza kuu, alisimama na kusema hakubaliani na uwepo wao.
"Sitakubali muongee na wajumbe wetu wakati mmeshindwa kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wa serikali wakiwemo wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao pia waandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa vitendo walivyokuwa wanafanya hivyo naombeni muondoke hatuwahitaji hapa,”alisema Lema.
Hata hivyo maofisa hao waliokuwa wamekaa meza za mbele kwa wageni rasmi hawakunyanyuka hadi wasimamizi wa ulinzi wa semina hiyo walivyowafuata na kuwanyanyua kwa nguvu ndipo wakaamua kutoka huku wakizomewa na ukumbi mzima.
Akizungumzia hali hiyo, kwa njia ya simu Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Zawadi Ngailo amesema suala hilo si jema lakini haliwezi kuzuia elimu ya rushwa kuwafikia wananchi.
Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi
Mtume mwiziNabii gani ni mwizi wa magari?