LGE2024 Arusha: Godbless Lema awatimua Maofisa wa TAKUKURU kwenye semina ya Wagombea wa CHADEMA, adai Wameacha uozo ufanywe kwenye Uandikishaji

LGE2024 Arusha: Godbless Lema awatimua Maofisa wa TAKUKURU kwenye semina ya Wagombea wa CHADEMA, adai Wameacha uozo ufanywe kwenye Uandikishaji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nabii wa Mungu, Godbless Lema, leo amekitendea haki Cheo Chake cha Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, baada kuwatimulia mbali Maofisa wa TAKUKURU waliohudhuria semina ya Wagombea wa Uenyekiti wa Serikali za Mitaa.

Nabii Lema ambaye Unabii wake juu ya Mambo kadhaa ya Tanzania Umetimia na kupitiliza, amewaambia Maofisa hao wa TAKUKURU kwamba Wameacha uozo kwenye Uandikishaji uliofanywa na viongozi wa serikali halafu wanakimbilia kuleta pua zao kwenye Semina zisizo na Makando kando za Chadema.

View attachment 3146379View attachment 3146382View attachment 3146387

Binafsi Naunga Mkono Jambo hili

=====

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amewafukuza maofisa watatu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwenye semina ya wagombea wa wenyeviti wa mitaa wa chama hicho.

Lema aliyekuwa mgeni rasmi leo Novemba 7, 2024 katika mkutano huo jijini Arusha, baada ya kuingia ukumbini na kupata utambulisho kuhusu uwepo wa maofisa wa Takukuru waliokuwa meza kuu, alisimama na kusema hakubaliani na uwepo wao.

"Sitakubali muongee na wajumbe wetu wakati mmeshindwa kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wa serikali wakiwemo wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao pia waandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa vitendo walivyokuwa wanafanya hivyo naombeni muondoke hatuwahitaji hapa,”alisema Lema.

Hata hivyo maofisa hao waliokuwa wamekaa meza za mbele kwa wageni rasmi hawakunyanyuka hadi wasimamizi wa ulinzi wa semina hiyo walivyowafuata na kuwanyanyua kwa nguvu ndipo wakaamua kutoka huku wakizomewa na ukumbi mzima.

Akizungumzia hali hiyo, kwa njia ya simu Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Zawadi Ngailo amesema suala hilo si jema lakini haliwezi kuzuia elimu ya rushwa kuwafikia wananchi.

Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi
Huku ndo Mchengerwa anapoanza kulipeleka Taifa, Kwa asilimia 💯 lema yupo sawa
 
Sasa nimeelewa kwa nini Makamu Mwenyekiti wa Chadema alilalamikia kuwepo wa Rushwa kwenye chaguzi za Chama! Kisha alikosa ushirikiano wa kutosha kutoka makao makuu ya Chama! Huu ndiyo ulikuwa muda muhimu wa Chadema kuwa Karibu na TAKUkuru ili kumaliza utata!
 
SIO JAMBO LA KIUNGWANA.
HII INAMAANISHA ANAUNGA MKONO MATENDO YA RUSHWA.ITAWAGHARIMU CHADEMA KWENYE CHAGUZI
Kati ya Lema aliyewatimua TAKUKURU ambao wameshindwa kutimiza wajibu wao katika jamii na hao YAKUKURU nani si muungwana .
Polisi wanachukua pesa barabarani mchana kweupe bila aibu , je, kuna haja ya kuendelea kuwepo TAKUKURU katika nchi hii?
 
Takukuru wanahusika vipi na uandikishaji daftari? Kuwatuhumu takukuru kutodhibiti uhuni kwenye daftari ni kubwakia mti usio sahihi. Kuelekea kampeni hapo ndipo vitendo vya rushwa vipo, uwepo wa takukuru ulikuwa sahihi kwenye semina. Sasa kawanyima fursa ya kuelimika watu wake wanaoihitaji sana elimu ya rushwa.
Wametimuliwa kwa aibu sana! inadaiwa wamenyamazia maiti kuandikishwa
 
Sasa nimeelewa kwa nini Makamu Mwenyekiti wa Chadema alilalamikia kuwepo wa Rushwa kwenye chaguzi za Chama! Kisha alikosa ushirikiano wa kutosha kutoka makao makuu ya Chama! Huu ndiyo ulikuwa muda muhimu wa Chadema kuwa Karibu na TAKUkuru ili kumaliza utata!
Uwezo wako ni duni sana
 
Nabii wa Mungu, Godbless Lema, leo amekitendea haki Cheo Chake cha Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, baada kuwatimulia mbali Maofisa wa TAKUKURU waliohudhuria semina ya Wagombea wa Uenyekiti wa Serikali za Mitaa.

Nabii Lema ambaye Unabii wake juu ya Mambo kadhaa ya Tanzania Umetimia na kupitiliza, amewaambia Maofisa hao wa TAKUKURU kwamba Wameacha uozo kwenye Uandikishaji uliofanywa na viongozi wa serikali halafu wanakimbilia kuleta pua zao kwenye Semina zisizo na Makando kando za Chadema.

View attachment 3146379View attachment 3146382View attachment 3146387

Binafsi Naunga Mkono Jambo hili

=====

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amewafukuza maofisa watatu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwenye semina ya wagombea wa wenyeviti wa mitaa wa chama hicho.

Lema aliyekuwa mgeni rasmi leo Novemba 7, 2024 katika mkutano huo jijini Arusha, baada ya kuingia ukumbini na kupata utambulisho kuhusu uwepo wa maofisa wa Takukuru waliokuwa meza kuu, alisimama na kusema hakubaliani na uwepo wao.

"Sitakubali muongee na wajumbe wetu wakati mmeshindwa kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wa serikali wakiwemo wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao pia waandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa vitendo walivyokuwa wanafanya hivyo naombeni muondoke hatuwahitaji hapa,”alisema Lema.

Hata hivyo maofisa hao waliokuwa wamekaa meza za mbele kwa wageni rasmi hawakunyanyuka hadi wasimamizi wa ulinzi wa semina hiyo walivyowafuata na kuwanyanyua kwa nguvu ndipo wakaamua kutoka huku wakizomewa na ukumbi mzima.

Akizungumzia hali hiyo, kwa njia ya simu Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Zawadi Ngailo amesema suala hilo si jema lakini haliwezi kuzuia elimu ya rushwa kuwafikia wananchi.

Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi
Huenda walitumwa na CCM kupeleleza mikakati ya Chadema.
CAUSTION: DO NOT TRUST STRANGERS.
 
Tukimpata mtu sahihi wa kuongoza nchi afanye tu anavyotaka na hawa watu, kwenye kusaka maendeleo hakuna muda wa kuangaika na wapuuzi.

Huko mbele labda watu wenye uwezo wa kweli wa kuongoza nchi wasikilizwe. Kwa sasa ni watu wa hovyo tu ndio wanaweza sikiliza hadithi za Mbowe na genge lake la wahuni wanastahili kupewa madaraka.
 
Nabii wa Mungu, Godbless Lema, leo amekitendea haki Cheo Chake cha Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, baada kuwatimulia mbali Maofisa wa TAKUKURU waliohudhuria semina ya Wagombea wa Uenyekiti wa Serikali za Mitaa.

Nabii Lema ambaye Unabii wake juu ya Mambo kadhaa ya Tanzania Umetimia na kupitiliza, amewaambia Maofisa hao wa TAKUKURU kwamba Wameacha uozo kwenye Uandikishaji uliofanywa na viongozi wa serikali halafu wanakimbilia kuleta pua zao kwenye Semina zisizo na Makando kando za Chadema.

View attachment 3146379View attachment 3146382View attachment 3146387

Binafsi Naunga Mkono Jambo hili

=====

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amewafukuza maofisa watatu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwenye semina ya wagombea wa wenyeviti wa mitaa wa chama hicho.

Lema aliyekuwa mgeni rasmi leo Novemba 7, 2024 katika mkutano huo jijini Arusha, baada ya kuingia ukumbini na kupata utambulisho kuhusu uwepo wa maofisa wa Takukuru waliokuwa meza kuu, alisimama na kusema hakubaliani na uwepo wao.

"Sitakubali muongee na wajumbe wetu wakati mmeshindwa kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wa serikali wakiwemo wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao pia waandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa vitendo walivyokuwa wanafanya hivyo naombeni muondoke hatuwahitaji hapa,”alisema Lema.

Hata hivyo maofisa hao waliokuwa wamekaa meza za mbele kwa wageni rasmi hawakunyanyuka hadi wasimamizi wa ulinzi wa semina hiyo walivyowafuata na kuwanyanyua kwa nguvu ndipo wakaamua kutoka huku wakizomewa na ukumbi mzima.

Akizungumzia hali hiyo, kwa njia ya simu Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Zawadi Ngailo amesema suala hilo si jema lakini haliwezi kuzuia elimu ya rushwa kuwafikia wananchi.

Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi
Lema kashaanza kujinasibisha na unabii kwasabab anajua kwenye ubunge hatoboi anataka mwakani akikosa ubunge afungue kabisa ajipatie ulaji
 
Lema kashaanza kujinasibisha na unabii kwasabab anajua kwenye ubunge hatoboi anataka mwakani akikosa ubunge afungue kabisa ajipatie ulaji
Hawana uwezo Raisi Samia anawatangwa mchana kweupe kwenye uchaguzi.

Sio kwamba Samia na CCM wanafanya kazi nzuri, ni kwamba CDM ni chama cha hovyo kisicho na mvuto.

Walichobakiza ni kulilia maandamano wanayolazimisha kupita sehemu zenye mikusanyiko ya watu, huku wakiombea vurugu zitokee katika harakati zao.

Ni wapuuzi tu ndio wanaweza kuwa wafuasi wa CDM,
 
Hawana uwezo Raisi Samia anawatangwa mchana kweupe kwenye uchaguzi.

Sio kwamba Samia na CCM wanafanya kazi nzuri, ni kwamba CDM ni chama cha hovyo kisicho na mvuto.

Walichobakiza ni kulilia maandamano wanayolazimisha kupita sehemu zenye mikusanyiko ya watu, huku wakiombea vurugu zitokee katika harakati zao.

Ni wapuuzi tu ndio wanaweza kuwa wafuasi wa CDM,
Chama kimeshindwa kusimamisha wagombea kwenye vijiji vyote Sasa kitaweza Nini?
 
Chama kimeshindwa kusimamisha wagombea kwenye vijiji vyote Sasa kitaweza Nini?
Uwa hawakosi sababu za kutunga huko mbele we subiri.

Hakuna kingine CDM wanaweza zaidi ya majungu,

Majungu ambayo wanajitekenya na kucheka wenyewe.

CDM hawana ushawishi wa kumshinda Samia pamoja na mapungufu yake.

Subiri sasa hadithi zao za kutunga wakati hata viongozi wao wakuu hawajajiandikisha kupiga kura.
 
Back
Top Bottom