Baki huko huko Nyarugusu usituletee gundu kwenye jiji letu.Nakuja huko next week kuthibiyisha
Hao waliondolewa vyuma vimelegea au vimekaza huko waliko?? Hela zimejaa mfukoni mwao?Arusha kweli tulikuwa tunateseka vibanda vilikuwa kila kona mpaka wapita miguu tunapata shida lakini sasa hivi jiji limekuwa safi, tunashukuru vibanda vimeondoka vilivyokuwa pembezoni mwa barabara na kuzuia shughuli za kibianadamu na miundo mbinu...
Makopo ya chibukuIla Moshi kumekua kuchafu siku hizi...Makopo, mabox yamezagaa sana ,,,Yani mpaka nimeshangaa stendi ya Moshi kuwa chafu vile
IPO chin ya madiwan WA ccmIla Moshi kumekua kuchafu siku hizi...Makopo, mabox yamezagaa sana ,,,Yani mpaka nimeshangaa stendi ya Moshi kuwa chafu vile
Picha zipo wapi?Arusha kweli tulikuwa tunateseka vibanda vilikuwa kila kona mpaka wapita miguu tunapata shida lakini sasa hivi jiji limekuwa safi, tunashukuru vibanda vimeondoka vilivyokuwa pembezoni mwa barabara na kuzuia shughuli za kibianadamu na miundo mbinu.
Hongera jiji la Arusha kwa kazi nzuri chini ya uongozi wa mtendaji kata ya Sekei Bw. Wang'ombe. Madaraka uliopewa kweli unayatendea haki. Bila malalamiko tumeona hata mapaa ya nyumba yanaondolewa sio vibanda tena.
Wamenyimwa JijiIla Moshi kumekua kuchafu siku hizi...Makopo, mabox yamezagaa sana ,,,Yani mpaka nimeshangaa stendi ya Moshi kuwa chafu vile