Arusha is over rated kuita watu mabilionea

Arusha is over rated kuita watu mabilionea

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Salaam!!!

Ukiwa Arusha ni kawaida kusikia mfanyabiashara wa kawaida kuitwa bilionea au utakuta machalii wa chuga wanasema aseee Olutu au Chuwa ni Zimba la kufa mtu yaani ni bilionea wa kuotea mbali baba angu 😅😅😅

Yaani arusha ukimiliki investment yoyote wewe tayari ni bilionea au Zimba.

Sikatai hili la kuita watu bilionea maana vijana wa chuga maana yao huwa ni nzuri tu, kwani wao pia wanandoto za kuwa mazimba.

Utasikia ukipata biashara unatakiwa upambanie hilo kombe kwa ela yote arifuuuu 😅😅

Vijana wapo over rated na hii concept ya kuita watu mazimba......mimi nikikutana na machalii wa home yaani mahomeboy wananiambiaga Tadey saivi ni bilionea wa viatu hapo Dar 🤣🤣🤣

Binafsi nimekutana na homeboy kitaa leo ananiambia yule jamaa X tuliyemaliza nae la 7 saivi ni bilionea wa hatari na wakati huo huwezi mbishia 😆😆
 
Wala sio kweli
Inategemea na mazoea yenu
Kama kula kwake ni hadi akusifu hapo sawa alafu Arusha tuko wengi sio hao walioko Dar utuambie wa Arusha kwa sababu katokea Arusha kumbuka katoka tayari yuko Dar so ni mdaslam huyo anaishi maisha yenu
 
Wala sio kweli
Inategemea na mazoea yenu
Kama kula kwake ni hadi akusifu hapo sawa alafu Arusha tuko wengi sio hao walioko Dar utuambie wa Arusha kwa sababu katokea Arusha kumbuka katoka tayari yuko Dar so ni mdaslam huyo anaishi maisha yenu
Wacha ubaguzi wa kifamba huo ase mja asili haachi asili hata kama yupo dar kama yeye ni mmeru itabaki hivyo
 
Dar ndio hata akili hawana, wao ukiwanunulia bia na chakula kidogo wanakuita Tajiri.... bila hata kujua investment zako.

Chuga kwa upande mwingine wanawatia moyo sana wapambanaji....

Fikiria mtu una mtaji wa 200M unaitwa fogo.. si utakaza had uwe Bilionea kweli?
Ila ya Dar ni weak sana😂
 
Dar ndio hata akili hawana, wao ukiwanunulia bia na chakula kidogo wanakuita Tajiri.... bila hata kujua investment zako.

Chuga kwa upande mwingine wanawatia moyo sana wapambanaji....

Fikiria mtu una mtaji wa 200M unaitwa fogo.. si utakaza had uwe Bilionea kweli?
Ila ya Dar ni weak sana😂
Kumbe hiko hivi tajiri kwa dar ni yule anaye wabless wana pombe wao wanakuwa chawa.
 
Daah ni mabilionea kweli sio kwamba wanatania tofauti ni kwamba wao hawana media coverage za dar wao ni Nairobi na mbele..
Wataje hapa unaowafahamu tuone kweli kama sio mabilionea..
Huyo Olutu unamfahamu kweli au unamfananisha?
Maana Olutu anamilik Mali Zaid ya bilion kadhaa Ila wapo Olutu wengi Hilo ni jina la ukoo isiwe umekutana na Olutu mwingine
 
Daah ni mabilionea kweli sio kwamba wanatania tofauti ni kwamba wao hawana media coverage za dar wao ni Nairobi na mbele..
Wataje hapa unaowafahamu tuone kweli kama sio mabilionea..
Huyo Olutu unamfahamu kweli au unamfananisha?
Maana Olutu anamilik Mali Zaid ya bilion kadhaa Ila wapo Olutu wengi Hilo ni jina la ukoo isiwe umekutana na Olutu mwingine
Sio yule Olotu tajiri, namaanisha Olotu wengine wa hapo chuga, imagine mi mwenyewe natokea vipande hivyo ivo baadhi ya madon wa kawaida wanakuwa termed as mabilionea....😅😅
 
Itakuwa wanaAppreciate kazi anayofanya mtu mwingine huku kwetu ukitoboa tutakubana mda wote ukatuonyeshe mganga wako 😂😂
 
Salaam!!!

Ukiwa Arusha ni kawaida kusikia mfanyabiashara wa kawaida kuitwa bilionea au utakuta machalii wa chuga wanasema aseee Olutu au Chuwa ni Zimba la kufa mtu yaani ni bilionea wa kuotea mbali baba angu 😅😅😅

Yaani arusha ukimiliki investment yoyote wewe tayari ni bilionea au Zimba.

Sikatai hili la kuita watu bilionea maana vijana wa chuga maana yao huwa ni nzuri tu, kwani wao pia wanandoto za kuwa mazimba.

Utasikia ukipata biashara unatakiwa upambanie hilo kombe kwa ela yote arifuuuu 😅😅

Vijana wapo over rated na hii concept ya kuita watu mazimba......mimi nikikutana na machalii wa home yaani mahomeboy wananiambiaga Tadey saivi ni bilionea wa viatu hapo Dar 🤣🤣🤣

Binafsi nimekutana na homeboy kitaa leo ananiambia yule jamaa X tuliyemaliza nae la 7 saivi ni bilionea wa hatari na wakati huo huwezi mbishia 😆
Kama hao machalii wavuta bangi wanakuita billionea na wewe unakenua, hauna tofauti nao
 
Ila kumbuka tu bilioni moja ya tanzania ni shilingi laki tatu pale marekani.
 
Dar ndio hata akili hawana, wao ukiwanunulia bia na chakula kidogo wanakuita Tajiri.... bila hata kujua investment zako.

Chuga kwa upande mwingine wanawatia moyo sana wapambanaji....

Fikiria mtu una mtaji wa 200M unaitwa fogo.. si utakaza had uwe Bilionea kweli?
Ila ya Dar ni weak sana[emoji23]
Duu mtaji wa m 200 ni Fogo asee kwa hii nchi kulinganisha na ukubwa wa umaskini , Duu ila jf bhna unaeza kata tamaa, m 200 ni ndogo???? Aseeeeee[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom