Arusha is over rated kuita watu mabilionea

Arusha is over rated kuita watu mabilionea

Duu mtaji wa m 200 ni Fogo asee kwa hii nchi kulinganisha na ukubwa wa umaskini , Duu ila jf bhna unaeza kata tamaa, m 200 ni ndogo???? Aseeeeee[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Inategemea upo wap na unafanya nini, Sasa biashara haiangalii umasikini wa nchi, inaangalia mahitaji ya kila siku ya wateja... ..

Kama unakatishwa tamaa pole sana..
 
Inategemea upo wap na unafanya nini, Sasa biashara haiangalii umasikini wa nchi, inaangalia mahitaji ya kila siku ya wateja... ..

Kama unakatishwa tamaa pole sana..
Nimeshapoa mkuu nina songa mbele😊😊😊
 
Duu mtaji wa m 200 ni Fogo asee kwa hii nchi kulinganisha na ukubwa wa umaskini , Duu ila jf bhna unaeza kata tamaa, m 200 ni ndogo???? Aseeeeee[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Jack Sparrow acha kushangaa shangaa wewe umezoea uharamia huko baharini.
 
Jamaa mmoja alikuwa anapenda kuexaggerate mambo anasema "Nilipige mahela sana pale kazi siku nzima"

Hela yenyewe elfu 30 (30k) 😅😅😅,hawa kamaa waliozea kuvaa mitumba ni bahili sana .
 
Back
Top Bottom