Arusha: Jeshi la Uokoji (Zimamoto) lashindwa kumuokooa kijana kisimani hatimaye kufariki

Arusha: Jeshi la Uokoji (Zimamoto) lashindwa kumuokooa kijana kisimani hatimaye kufariki

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Jeshi la Uokoaji (Zimamoto) Mkoani Arusha, limeshindwa kumuokoa kijana aliyeshindwa kutoka kisimani hali iliyopelekea afie ndani ya kisima hicho.

Baada ya Jeshi la Uokozi kushindwa kumtoa kijana huyo, ndipo akatafutwa kijana amabye alilipwa kiasi cha Shilingi Laki Tatu na kufanikiwa kutoa mwili wa marehemu.

Kijana huyo aliingia katika kisima hicho chenye urefu wa mita 60 ili kumtoa mbuzi aliyekuwa ametumbukia akiahidiwa kulipwa kiasi cha shilingi elfu 40.

Pia soma Arusha: Afariki baada ya kuingia kwenye kisima chenye mita 60 kumtoa mbuzi



Chanzo: Ayo Tv.
 
Jeshi la Uokoaji Mkoani Arusha, limeshindwa kumwokoa kijana aliyeshindwa kutoka kisimani hali iliyopelekea afie ndani ya kisima hicho.

Baada ya Jeshi la Uokozi kushindwa kumtoa kijana huyo, ndiposa alijitokeza kijana aliyetaka alipwe kiasi cha Shilingi Laki Tatu ili autoe mwili na alipolipwa pesa hizo baada ya siku tatu alizamia kisimani na kuutoa mwili wa marehemu.

Chanzo: Ayo Tv.
Ingekuwa maandamano ya Chadema wangekuwa wameshafika hapo kisimani haraka na ku-take action
 
Jeshi la Uokoaji (Zimamoto) Mkoani Arusha, limeshindwa kumuokoa kijana aliyeshindwa kutoka kisimani hali iliyopelekea afie ndani ya kisima hicho.

Baada ya Jeshi la Uokozi kushindwa kumtoa kijana huyo, ndipo akatafutwa kijana amabye alilipwa kiasi cha Shilingi Laki Tatu na kufanikiwa kutoa mwili wa marehemu.

Kijana huyo aliingia katika kisima hicho chenye urefu wa mita 60 ili kumtoa mbuzi aliyekuwa ametumbukia akiahidiwa kulipwa kiasi cha shilingi elfu 40.

Pia soma Arusha: Afariki baada ya kuingia kwenye kisima chenye mita 60 kumtoa mbuzi

View attachment 3208830

Chanzo: Ayo Tv.
Huyo kijana apewe ajira
 
Baada ya Jeshi la Uokozi kushindwa kumtoa kijana huyo, ndipo akatafutwa kijana amabye alilipwa kiasi cha Shilingi Laki Tatu na kufanikiwa kutoa mwili wa marehemu.
Sasa hilo jeshi la uokozi lina faida gani kama kijana mmoja ambaye hana mafunzo ameweza kutekeleza kazi iliyowashinda askari walioko eneo la tukio?
 
Sasa hilo jeshi la uokozi lina faida gani kama kijana mmoja ambaye hana mafunzo ameweza kutekeleza kazi iliyowashinda askari walioko eneo la tukio?
Vijana wa zimamoto si umewaona ni masharobaro hapo.
 
Jeshi la Uokoaji (Zimamoto) Mkoani Arusha, limeshindwa kumuokoa kijana aliyeshindwa kutoka kisimani hali iliyopelekea afie ndani ya kisima hicho.

Baada ya Jeshi la Uokozi kushindwa kumtoa kijana huyo, ndipo akatafutwa kijana amabye alilipwa kiasi cha Shilingi Laki Tatu na kufanikiwa kutoa mwili wa marehemu.

Kijana huyo aliingia katika kisima hicho chenye urefu wa mita 60 ili kumtoa mbuzi aliyekuwa ametumbukia akiahidiwa kulipwa kiasi cha shilingi elfu 40.

Pia soma Arusha: Afariki baada ya kuingia kwenye kisima chenye mita 60 kumtoa mbuzi

View attachment 3208830

Chanzo: Ayo Tv.
Hii habari ililetwa humu wiki iliyopita, sasa tukio hili nalo ni kama lililopita au limejiriwaindi!
 
Jeshi la Uokoaji (Zimamoto) Mkoani Arusha, limeshindwa kumuokoa kijana aliyeshindwa kutoka kisimani hali iliyopelekea afie ndani ya kisima hicho.

Baada ya Jeshi la Uokozi kushindwa kumtoa kijana huyo, ndipo akatafutwa kijana amabye alilipwa kiasi cha Shilingi Laki Tatu na kufanikiwa kutoa mwili wa marehemu.

Kijana huyo aliingia katika kisima hicho chenye urefu wa mita 60 ili kumtoa mbuzi aliyekuwa ametumbukia akiahidiwa kulipwa kiasi cha shilingi elfu 40.

Pia soma Arusha: Afariki baada ya kuingia kwenye kisima chenye mita 60 kumtoa mbuzi

View attachment 3208830

Chanzo: Ayo Tv.
Kijana huyo aliingia katika kisima hicho chenye urefu wa mita 60 ili kumtoa mbuzi aliyekuwa ametumbukia akiahidiwa kulipwa kiasi cha shilingi elfu 40.😭😭😭
 
Hii habari ilivyoletwa sio kweli

Ungesema wameshindwa kutoa mwili kuliko kupotosha alikufa kwa kukosa msaada
 
Back
Top Bottom