Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Jeshi la Uokoaji (Zimamoto) Mkoani Arusha, limeshindwa kumuokoa kijana aliyeshindwa kutoka kisimani hali iliyopelekea afie ndani ya kisima hicho.
Baada ya Jeshi la Uokozi kushindwa kumtoa kijana huyo, ndipo akatafutwa kijana amabye alilipwa kiasi cha Shilingi Laki Tatu na kufanikiwa kutoa mwili wa marehemu.
Kijana huyo aliingia katika kisima hicho chenye urefu wa mita 60 ili kumtoa mbuzi aliyekuwa ametumbukia akiahidiwa kulipwa kiasi cha shilingi elfu 40.
Pia soma Arusha: Afariki baada ya kuingia kwenye kisima chenye mita 60 kumtoa mbuzi
Chanzo: Ayo Tv.
Baada ya Jeshi la Uokozi kushindwa kumtoa kijana huyo, ndipo akatafutwa kijana amabye alilipwa kiasi cha Shilingi Laki Tatu na kufanikiwa kutoa mwili wa marehemu.
Kijana huyo aliingia katika kisima hicho chenye urefu wa mita 60 ili kumtoa mbuzi aliyekuwa ametumbukia akiahidiwa kulipwa kiasi cha shilingi elfu 40.
Pia soma Arusha: Afariki baada ya kuingia kwenye kisima chenye mita 60 kumtoa mbuzi
Chanzo: Ayo Tv.