green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Askari pesa
Askari pesa wakiwa na vifaa wameshindwa kumuokoa kijana raia asiyekua hata na mtungi wa O² kufanikisha zoezi Dah aise haya ni maajabuJeshi la Uokoaji (Zimamoto) Mkoani Arusha, limeshindwa kumuokoa kijana aliyeshindwa kutoka kisimani hali iliyopelekea afie ndani ya kisima hicho.
Baada ya Jeshi la Uokozi kushindwa kumtoa kijana huyo, ndipo akatafutwa kijana amabye alilipwa kiasi cha Shilingi Laki Tatu na kufanikiwa kutoa mwili wa marehemu.
Kijana huyo aliingia katika kisima hicho chenye urefu wa mita 60 ili kumtoa mbuzi aliyekuwa ametumbukia akiahidiwa kulipwa kiasi cha shilingi elfu 40.
Pia soma Arusha: Afariki baada ya kuingia kwenye kisima chenye mita 60 kumtoa mbuzi
View attachment 3208830
Chanzo: Ayo Tv.