Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,020
Uwanja mbovu utafikili tupo namfua Singinda Jiji kubwa la tatu ila ata kuboresha sehemu ya kuchezea kwa kupanda nyasi za kisasa inakuwa issue kweli?
Pale ni jiji la utarihi inakuwaje serikali ya jiji mnakusanya mapato mengi hvyo ila mnashindwa kutoa pesa kidogo kuboresha pitch ya uwanja wenu. Timu zincheza mpira wa hovyo tunabaki kuwalaumu wachezaji kumbe shida uwanja.
Pale ni jiji la utarihi inakuwaje serikali ya jiji mnakusanya mapato mengi hvyo ila mnashindwa kutoa pesa kidogo kuboresha pitch ya uwanja wenu. Timu zincheza mpira wa hovyo tunabaki kuwalaumu wachezaji kumbe shida uwanja.