Arusha: Kamanda wa Polisi ACP Shana ampa onyo Godbless Lema kuhusu picha za barabara mbovu

Arusha: Kamanda wa Polisi ACP Shana ampa onyo Godbless Lema kuhusu picha za barabara mbovu

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
February 17, 2020

Katazo la kupiga picha mbugani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, ACP Jonathan Shana atoa tamko kali la onyo huku akigonga mimbari ya press conference wakati akijibu maoni ya Mh. Godbless Lema mbunge wa Arusha mjini kuhusu picha za barabara mbovu za mbuga zilizopo nchini Tanzania



Kamanda huyo wa Polisi wa Mkoa alisisitiza maagizo ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha yatatekelezwa na kuwataka waTanzania kukubali katazo hilo bila shuruti. ACP Shana alilisisitiza uzalendo kwanza katika awamu hii ya tano ya uongozi.

Source: Azam TV

Zaidi, soma: Uhujumu Uchumi: RC Arusha ataka waliosambaza video ikionyesha barabara mbovu mbugani kukamatwa mara moja
 
Uzalendo umekuwa ni kuficha mabaya!Nchi hii sijui tunaelekea wapi?

Kuna sheria yoyote inayoback up vitisho vyake au ni porojo tu?

Nadhani kipindi cha mwewe cha clouds 360 kitakuwa kimefikia tamati maana wao huwa mwewe wao anaruka kutafuta maeneo yenye mapungufu na kuyaonesha kwa jamii!
 
Naangalia TBC hapa
Wameonesha kwa kirefu zaidi, nadhani watakamatwa kwa uhujumu uchumi
 
Naangalia TBC hapa
Wameonesha kwa kirefu zaidi, nadhani watakamatwa kwa uhujumu uchumi
 
Back
Top Bottom